Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Ni kulia lia na kujifanya wao (sisi) ni victim, hiyo dhambi ya victim mentality imeendelea na tumerithishwa mpaka leo.
Nyerere & Co. walimuona Muzungu ni adui na walitufundisha hivyo, walimuona Muzungu ana jukumu la kutusaidia kwa sababu alitutawala, lkn walisahau Muzungu alitawala Dunia nzima na siyo sisi tu, kwanza sisi ndo wa mwisho kutawaliwa na hatukutawaliwa kwa muda mrefu kama wengine.
Uingereza ilikaa India zaidi ya miaka 150 hata British empire ni shauri ya India, China - Hong Kong wameaondoka juzi kati tu.
Laana hii imepelekea sisi Waafrika kumuona Mzungu kama siyo equal wetu na kwamba ana deni la kutulipa.
Ni kama kijana anayemlaumu Baba yake kwa kushindwa kwake maishani, kwamba hakumsaidia ndo maana anashindwa.
Sasa tuvunje hii kete ya laana walioturithisha kizazi cha kwanza.
Tuanze kumuona Muzungu kama competitor wetu na siyo baba tunayemlaumu kwa kila kitu maishani mwetu, ...
Nyerere & Co. walimuona Muzungu ni adui na walitufundisha hivyo, walimuona Muzungu ana jukumu la kutusaidia kwa sababu alitutawala, lkn walisahau Muzungu alitawala Dunia nzima na siyo sisi tu, kwanza sisi ndo wa mwisho kutawaliwa na hatukutawaliwa kwa muda mrefu kama wengine.
Uingereza ilikaa India zaidi ya miaka 150 hata British empire ni shauri ya India, China - Hong Kong wameaondoka juzi kati tu.
Laana hii imepelekea sisi Waafrika kumuona Mzungu kama siyo equal wetu na kwamba ana deni la kutulipa.
Ni kama kijana anayemlaumu Baba yake kwa kushindwa kwake maishani, kwamba hakumsaidia ndo maana anashindwa.
Sasa tuvunje hii kete ya laana walioturithisha kizazi cha kwanza.
Tuanze kumuona Muzungu kama competitor wetu na siyo baba tunayemlaumu kwa kila kitu maishani mwetu, ...