Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
- Thread starter
- #21
Na wewe una tofauti gani za kuwalaumu marehemu kwa hali yako ya sasa ?
Kama hujui shida waliyopata watu wa kipindi hicho nenda kasome yaliyowakuta kina Thomas Sankara na Patrice Lumumba among the few....
Najua, lkn siyo wao tu waliopata shida, Dunia nzima nchi zote zilizotawaliwa walipata shida sana, Wachina walitawaliwa na Japani waliuliwa na kuchuliwa rasilimali zao nyingi, Korea waliteswa sana na Ukoloni wa Japani lkn wamemove on na hawana victim mentality, I mean huwezi kukuta Mchina anakwambia yeye ni masikini sababu alitawaliwa na Japan au huwezi sikia Mvietnam akilia umaskini kisa alitawaliwa na Ufaransa.
Wanatambua ilitokea lkn hawana victim mentality, wanafanya biashara na Dunia nzima, sisi mpaka leo hii tunalia ukoloni mamboleo, kwa nini?