Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,186
- 37,501
Heshima sana wanajamvi.
Tulia wa leo si wa jana wala juzi.
Tulia wa leo amefubaa,amenyong'onyea,amepauka, amekuwa kichekesho na mnyonge katika viambaza vya wenye mamlaka.
Wengi mtakumbuka sakata la Kilimanjaro International Airport kumilikiwa na KADCO.
Wabunge walipiga kelele kubwa ni kwanini hata baada ya serekali kununua hisa zote bado ilikuwa kizungumkuti kuurejesha chini TAA kama ilivyo viwanja vingine.
Tulia bila kujua KIA inatakiwa kuuzwa kwa WAARABU akashikilia bango urejeshwe TAA.Hilo lilikuwa kosa kubwa sana katika siasa za wakati huu za kuuza rasilimali za TANGANYIKA.
KIfo cha Mh Lukivu ilitegemewa labda angekumbukwa lakini tabia yake ya kupenda kuongea ongea kama Kasuku aliyekosa maji kwa siku kadhaa ilizidi kuwa kero ikabidi Mumewe atumbuliwe ilikumweka sawa.
Tulia wa leo si wa jana wala juzi.
Tulia wa leo amefubaa,amenyong'onyea,amepauka, amekuwa kichekesho na mnyonge katika viambaza vya wenye mamlaka.
Wengi mtakumbuka sakata la Kilimanjaro International Airport kumilikiwa na KADCO.
Wabunge walipiga kelele kubwa ni kwanini hata baada ya serekali kununua hisa zote bado ilikuwa kizungumkuti kuurejesha chini TAA kama ilivyo viwanja vingine.
Tulia bila kujua KIA inatakiwa kuuzwa kwa WAARABU akashikilia bango urejeshwe TAA.Hilo lilikuwa kosa kubwa sana katika siasa za wakati huu za kuuza rasilimali za TANGANYIKA.
KIfo cha Mh Lukivu ilitegemewa labda angekumbukwa lakini tabia yake ya kupenda kuongea ongea kama Kasuku aliyekosa maji kwa siku kadhaa ilizidi kuwa kero ikabidi Mumewe atumbuliwe ilikumweka sawa.