Korea Kaskazini kurusha kombora kwenda mwezini!

_59590922_hpasmskw.jpg


North Korea confirms its controversial rocket launch failed, as observers report it broke up and crashed into the sea shortly after blast-off.
BBC News - North Korea rocket launch fails

Hawa jamaa raia wao hawana chakula badala ya kushughulikia maendeleo ya raia wanashughulikia maendeleo ya silaha. Ukitoka nchi masikini hata kufikiri kwako ni tatizo pia.

Mkuu badilisha kwanza hiyoheading yako, ni Korea Kaskazini na wala sio Korea Kusini

Mkuu usifate Propaganda za wamarekani na Waingereza, sio kwei kuwa jamaa wana shida ya chakula, hiyo ya kukosa chakula haiishi?, wewe umeanza kuisikia lini mpaka leo bado hipo tu?
 
_59590922_hpasmskw.jpg


North Korea confirms its controversial rocket launch failed, as observers report it broke up and crashed into the sea shortly after blast-off.
BBC News - North Korea rocket launch fails

Hawa jamaa raia wao hawana chakula badala ya kushughulikia maendeleo ya raia wanashughulikia maendeleo ya silaha. Ukitoka nchi masikini hata kufikiri kwako ni tatizo pia.
Tatizo ni kwamba wanataka kuzitunishia msuli South Korea na America, nchi ambazo zinazidi kuendelea sana kiviwanda na demokrasia wakati hiyo Korea Kaskazini yenyewe ndo inabaki maskini wa kutupwa! Maskini ana mawazo ya kimaskini tu.
 
Hii habari hapa Jukwaa la siasa sio mahala pake pls mods move this kwenye international forum.
 
_59590922_hpasmskw.jpg


North Korea confirms its controversial rocket launch failed, as observers report it broke up and crashed into the sea shortly after blast-off.
BBC News - North Korea rocket launch fails

Hawa jamaa raia wao hawana chakula badala ya kushughulikia maendeleo ya raia wanashughulikia maendeleo ya silaha. Ukitoka nchi masikini hata kufikiri kwako ni tatizo pia.
Korea kaskazini sio vibaya mmejaribu msikate nia, sisi watz hata kutengeneza panga ni issue, eti serikali iliambiwa na taasisi za dunia mf. world bank kuwa ni kazi ya sekta binafsi, hivyo tunasubiri itutengenezea kombora la kulinda nchi yetu kama tunavyoaminishwa na mahagharibi au tununua outdated silaha kutoka kwao na kushindwa hata kudhihifadhi na kua raia wetu kama tuliyoyaona Mbagala. Afadhali hao wanajishughulisha kama nchi kulinda nchi yao ingawa hawana chakula kuliko sisi tusiokuwa na chakula wala hata panga lenyewe hatuwezi kutengeza wala hatuna mpango wa kutengeneza!!!! (hatuna priority yeyote porojo tu) ila kuwa nchi ya kuchagua viongozi kwa umaarufu wa kuombaomba sio kumobilize resource kwa maendeleo yetu
 
Mkuu badilisha kwanza hiyoheading yako, ni Korea Kaskazini na wala sio Korea Kusini

Mkuu usifate Propaganda za wamarekani na Waingereza, sio kwei kuwa jamaa wana shida ya chakula, hiyo ya kukosa chakula haiishi?, wewe umeanza kuisikia lini mpaka leo bado hipo tu?

Bro, sisi wa nchi masikini huwa mara nyingi sana hatukubali kuitwa masikini. Wale jamaa hali yao mbaya sana ndiyo maana hata majengo yao hapa Dar waliuza. Hebu jiulize tu kuwa kuna product gani toka kwao ambayo tunaitumia hapa Tanzania? Ukweli unapaswa kubaki kuwa ukweli tu.
 
Korea kaskazini sio vibaya mmejaribu msikate nia, sisi watz hata kutengeneza panga ni issue, eti serikali iliambiwa na taasisi za dunia mf. world bank kuwa ni kazi ya sekta binafsi, hivyo tunasubiri itutengenezea kombora la kulinda nchi yetu kama tunavyoaminishwa na mahagharibi au tununua outdated silaha kutoka kwao na kushindwa hata kudhihifadhi na kua raia wetu kama tuliyoyaona Mbagala. Afadhali hao wanajishughulisha kama nchi kulinda nchi yao ingawa hawana chakula kuliko sisi tusiokuwa na chakula wala hata panga lenyewe hatuwezi kutengeza wala hatuna mpango wa kutengeneza!!!! (hatuna priority yeyote porojo tu) ila kuwa nchi ya kuchagua viongozi kwa umaarufu wa kuombaomba sio kumobilize resource kwa maendeleo yetu
Ile nchi inabebwa tu na Wamarekani, wakiamua kuikatia misaada watakufa in millions! Angalau sisi Wabongo hatubebwi kiviile kwa sababu hatuangaiki sana nadhani. North Korea ni kwishney, na ndiyo nazidi kuamini kuwa adui kama humuwezi ni heri ukaungana naye akupe maujanja, kuliko kuumiza kichwa yako bure na kumaliza resources zote kujitutumua. Naendelea kuamini kuwa yeyote anayeichukia US of A atabaki maskini tu.
 
Ile nchi inabebwa tu na Wamarekani, wakiamua kuikatia misaada watakufa in millions! Angalau sisi Wabongo hatubebwi kiviile kwa sababu hatuangaiki sana nadhani. North Korea ni kwishney, na ndiyo nazidi kuamini kuwa adui kama humuwezi ni heri ukaungana naye akupe maujanja, kuliko kuumiza kichwa yako bure na kumaliza resources zote kujitutumua. Naendelea kuamini kuwa yeyote anayeichukia US of A atabaki maskini tu.
Nina mashaka na uelewa wako kwenye mambo ya kimataifa........hebu weka wazi kwanza ni nchi gani inayobebwa na Wamarekani?
 
Mkuu badilisha kwanza hiyoheading yako, ni Korea Kaskazini na wala sio Korea Kusini

Mkuu usifate Propaganda za wamarekani na Waingereza, sio kwei kuwa jamaa wana shida ya chakula, hiyo ya kukosa chakula haiishi?, wewe umeanza kuisikia lini mpaka leo bado hipo tu?

Kweli Glasnost and Perestroika haijafanya kazi kwa wengi. Unafiki, uongo na udhanifu umetumeza. Ukiwa na njaa omba chakula, njaa itakuua.

[h=1]North Korea rocket launch fails[/h]
_59590922_hpasmskw.jpg
North Korea says the rocket was planned to put a satellite into orbit
Continue reading the main story [h=2]North Korea tensions[/h]


North Korea's keenly-watched rocket launch has failed, Pyongyang has confirmed.
The rocket - seen by many as a banned test of long-range missile technology - was launched from north-west North Korea early on Friday.
The US, Japan and South Korea say it flew only for a short time before breaking up and crashing into waters off the Korean peninsula.
North Korea said its scientists were assessing what had caused the failure.
North Korea says the aim of the rocket was to launch a satellite into orbit - a move marking the 100th anniversary of the birth of national founder Kim Il-sung.
But the US and other nations say the launch constituted a disguised test of long-range missile technology banned under UN resolutions.
In a statement, the White House condemned the launch, despite its failure. The UN Security Council is due to meet later in the day to discuss the launch. China, North Korea's closest ally, has called for calm and restraint on the Korean peninsula.
'Ended in failure' The rocket went up at 07:39 local time (22:39 GMT Thursday), South Korean officials said.
Its intended flight path would have taken it south, to the west of the Korean peninsula between Japan and the Philippines.
 
we should not underestimate the impact to the nvironment pollution. haya makombora yanakuwa na mathadhara sana hasa kwenye uchafuzi wa mazingira na wanaoathirika zaid ni nchi zinazoendelea.toxic gases zinasafirishwa uja huku kwetu na ndio sababu effect ya global environment pollution iko pronounced zaid huku afrika kiliko kwao. nafiki matumiz ya makombora yenye nyuklia yaangaliwe kwa umakini.

lakini pia hebu tuiulize kwani wanajihami na nani/nini? hivi tushindwa kweli kuwa na upendo kati yetu jamani hadi tutengenezeane silaha? sijaona wakisema wanajihami na simba na chui wakati hawa ni hatari na ukimgusa tu simba au chui ulimwengu wote unakukaripia sasa mbona kwa binadamu ni tofauti sana?
 
mwaka 1990 nchi ya korea ilikua maskini kuliko tanzania,leo wanatusaidia kujenga vyuo vya veta bora kila mkoa
 
Bahati mbaya zoezi hilo limeshindikana baada ya roketi hiyo kupata hitilafu sekunde 90 baada ya kurushwa.
 
Korea Kaskazini imeshindwa kurusha kombora la unha-3 kwenda mwezini kuweka kituo cha satelite ili kupata taarifa za hali ya hewa.

Kombora hilo lilirushwa mapema leo asubuhi na kuchukua si zaidi ya dakika mbili kabla ya kurudi chini na kuangukia bahari ya njano.
Urushaji wa kombora hilo ulionyeshwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha SBS cha Korea Kusini.

A-TV-screen-showing-a-gra-008.jpg
 
naamini watarusha tena baada ya kufail. hii ilikua test tu. bila shaka washagundua tatizo. Mungu awasaidie wafanikiwe malengo yao.
 
Nimejaribu fuatilia vyombo mbalimbali vya habari kuhusu KOREA MASIKINI kujilimbikizia silaha huku chakula hakuna .JAMAA WAKIWA WANACHEKESHA DUNIA KWA KURUSHA ROCKET ILIYOLIPUKA DK CHACHE SANA BAANA YA KURUKA.Imekuwa km kejeli.Wenzao wa kusini wanashukuru Mungu kuwa haikuwalipukia ktk docking pad.

Vijamaa vimewaaminisha watu wao kuwa wana nguvu ya kupiga kila taifa, kuwa watu wanaowaonea huruma mafanikio yao,na wenzao wa kusini ni vibaraka etc. Vijamaa vikiwa ktk gwaride lililosheheni vijeshi vipuuzi, waandishi walikuwa wakipiga picture vijiji watu wamechoka km somalia .Vyenyewe, vinavyoabudu familia moja huku wakisema wapo tayari kupiga mabom mengi sana just kumlinda rais wao.Vimefundishwa cha kusema, vinadanganywa kuwa familia ya raisi imewapa maendeleo sana. Vinanikumbusha miaka ya nyuma, tulipokuwa tunachangishwa hela ili mwenge upite vyema,au hawa viongozi ambao leo ni mafisadi na bado wanaamini kuwa tunatakiwa tuwalaki.Shit CDM hawana muda wapo km Honey badger.Nakumbuka kale katabia tulichokirithi cha kufagia nyumba, kuvaa nguo mpya na vile viatu vya sikukuu kabla ya kuja mgeni.

KITABIA KINGINE NILICHOKIONA NI HIKI CHA MGENI AKIJA KWA MTU MASIKINI ANAOMBA MGENI AFIKIE KWA MWENYE AFADHALI.Mwandishi anaonyesha haka Kakorea duni kifikra na kimaendeleo kilivyo wa jamii ya namana hiyo.Yote haya ni kujenga picture ya kutisha wengine,picture ya kujikuza hta pasipohitajika.

Vijamaa vipo tayari kumpa kijana ambaye kwa haraka tuu anaonekana zuzu,ila kwa vile makachero wanakiongoza kwa mtazamo waBabu+ baba yake,na raia masikini ambao hata kutoka hawaruhusiwi kwa vile wakionja life ya nje hawarudi.Hawajui kuwa watoto wa vigogo wakisoma nje wanakula good time kabala ya kurudi na kuendelea wabana kwa piacture kuwa wanabna mifuko.

NINA KILA SABABU YA KUUCHUKIA UJAMAA.Nawahurumia vijana waliokuwa ktk kipindi cha Makwaia,na mada yao CCM tuitakayo.Bado ni wadogo sana kuujua upuuzi wa ujamaa.Dogo hawajui kuwa ujamaa umekuwa faida kwa waliopo ktk system dunia nzima.CUBA wamepata tv+internet miaka hii ingawa walikuwa juu ktk nyanja nyingi kwa miaka mingi,korea ya dhiki nayo wamekosa nafasi ya kukua km wenzio wa kusini.Ambao wnatusaidia wanafiki sisi tulio na urafiki na wa kaskazini.CCM wametumia nguvu zetu kujimilikihsa viwanja,majumba etc wanayotumia kutunzia hao makada wasiojua hata kufanyia biashara maana.

I wish ningemwambia Makwaia, afaidi kwa jk tuu il asitegemee zaidi ya hapo anaokiongea hakitokaa kirudi.CCM haiwezi rekebishika.bado wanaamini kuwa wanajua na kila mtu amejiwekeza vibaya ktk chama na kifikra.KILA SIKU WANA HOMEWORK,WALICHOJIFUNZA WANAHISI WANAWEZA RUDI JIKUMBUSHA NA KUJA TENDA,WANATOA AHADI WAKIFIKA WANAKUTA KUNA JIPYA NA INABIDI WARUDI JIKUMBUSH ATENA

I LIKE CCM WALITUBANA KTK UHURU WA FIKRA,WAKANYWA UJINGA ZAIDI LEO WANASHANGAA KILA KITU.Waliosha kikombe kwa nje wakanywa uchafu kwa ndani.LEO UHURU WA FIKRA NI ADUI NO WA CCM.

UHURU WA FIKRA NA HABARI NI ADUI WA UJAMAA+DICTATORSHIP+AUTOCTRATIC REGIMES. NI KM KULETA TAA KTK KUNDI LA KUNGUNI,VIROBOTO AU MAJAMBAZI.
 
naamini watarusha tena baada ya kufail. hii ilikua test tu. bila shaka washagundua tatizo. Mungu awasaidie wafanikiwe malengo yao.

Tayari wamepoteza hela ya kusaidia chakula kwa watu wao, na wengine hata vyoo hawana.watapoteza tena kwa kutaka kujikwaza na kutishia wengine kwa silaha....tuache ushabiki.Wenzao wa kusini ndio wanatupa schoarship, na kutujengea VETA ,barabara na madaraja..tuache upuuzi ujamaa na ukomrade is a gone story.Ktk huu ucomrade tuwaambie wakati watoto wao wakipata kwashiokor,wakinya mitaani,wakinyimwa hata nafasi ya kuzamia nje ya nchi wao wakidanganya km sisi enzi zile, sisi tunakula misaada kwa maadui zao south korea na agenda yetu ni kununu power tiller za kutosha..bongo zawenj ndio wanaendelea danganywa na geo politics/religious views uchwara.
Presidaa kapiga picture nyingi na Bush/Obama kuliko na jamaa wa korea kaskazini, kuliko na castro,kuliko na putin, kuliko na medvedev.ghaddafi tulipiga tumba tuu kwa kutoamini km atanguka na kufa kweli(km wana CCM wanaokimbizana zimisha kila habari wasiyoweza iamini wakidhani haiwezi kuwa kweli).
 
Back
Top Bottom