Wewe ni chai ya asubuhi.Konyagi ya nini tena?Mvuke wa spirit(spritual healing)umekuingia kwenye mifumo yako yote mwilini i.e ya damu,mmeng'enyo,hewa nk.Mifumo imepata mshtuko na kujawa na hofu hadi matezi yamehiyari kutoa jasho.Wake up call hiyo.Nenda polepole.Pombe siyo chai.Na hakuna bingwa wa kubugia pombe.