Konyagi ni Gin kundi moja na Ballentines et.c Iligunduliwa TZ ila kwa ajili ya Tanzania Distilleries LTD kuwa owned na serikali inawezekana property rights kwa maana ya either patent(sijui kama alcoholic drinks ni patentable kwa sheria za BRELA sasa au Enzi hizo) or Trade Mark hazikumwezesha mgunduzi au kile kiwanda kuimiliki. Kwa upande mwingine inawezekana eneo ambalo hiyo haki miliki imesajaliwa (If at all imesajiliwa) haiingiliani na South Africa hivyo kufanya huyo mgunduzi feki au mrasimishaji wa konyagi kustahili hiyo tuzo. Vile vile inawezekana vigezo vya tuzo vinamhusu mzalishaji wa sasa na siyo mgunduzi. Kwa mfano Safari Lager ilipewa tuzo ya Africa juzi lakini mgunduzi kama sikosei ni mzee Shelukindo miaka ya 1977. So.....