trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
Kuna foleni ndefu. Angalia njia nyingine ya kupita,maana hata zinazotokea Buguruni haziendi na zinazotokea Temeke pia haziendi. Labda za Airport na za City Center.
Waambine hao, tena wakazane kupiga kelele gesi ije Dar, watahamishwa mpaka basi.. Airport walihamishwa kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege, Kigamboni (...), Kinyerezi........... inaonekana jinsi gani hamstahili kuishi mjini.Duh,,..mkiambiwa dar imejaa mnabisha, na gesi mnataka ije hukohuko...mtajibeba!!
Kuna foleni ndefu. Angalia njia nyingine ya kupita,maana hata zinazotokea Buguruni haziendi na zinazotokea Temeke pia haziendi. Labda za Airport na za City Center.
Yeethu na Mariya na Yoseph mchumbaake hivi halikumwangukia mtu? halafu hata mwaka jana lilianguka hapo hapo!
Eeee, yeye hana mpango wa kuangamiza maalbino bali ni budi aangushe kontena lake tu hapohapo kila mwaka. Ndo ushauri wa Dr Manyaunyau huo!halafu hata mwaka jana lilianguka hapo hapo!
Vp simu yako haina camera
Hapo uongo wake ni nini? Kwamba kontena halijaanguka? Au foleni hakuna?Acha uongo bana, foleni kwa uzoefu wangu katika njia hii ni kitu ya kawaida kwa siku ya Jumamosi hususani kuanzia mida ya saa nne (4) asubuhi, hata hivyo lori lenyewe halikukaa zaidi ya saa moja. Magari yote yalikuwa yanapita vizuri tu kasoro yale yatokayo Gongolamboto kuelekea Buguruni. Trafiki wamefanya kazi nzuri kuongoza magari.
Wasawahili kwa kushangaa hawajambo!
Duh,,..mkiambiwa dar imejaa mnabisha, na gesi mnataka ije hukohuko...mtajibeba!!