Yes, kongosho ni pancrease. Ni tezi ambalo mbali na kutoa vemeng'enyo vya chakula (digestive enzymes), pia huwa inatoa chachu ya Insulin ambayo kazi yake ni kusaidia kusambaza sukari sehemu mbali mbali za mwili kutoka kwenye damu.
Inapatikana tumboni imejishikilia karibu na pale ambapo utumbo mdogo unaanzia yaani duodenum.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.