Kongamano la vyuo vikuu dsm limeairishwa

Kongamano la vyuo vikuu dsm limeairishwa

mNaz

Senior Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
104
Reaction score
31
Kiongozi habari!!!
Pamoja na salamu kutoka kwangu napenda kukujulisha kuwa Kongamano la vyuo vikuu la tarehe 23/03/2014(jumapili hii) limehairishwa mpaka tutapotoa taarifa. Barua ya maelezo ya kina inafuata. Nikutakie asubuhi njema.
 
Tulisha jiandaa sana bt nadhan kubanwa kwa mh rais ndio chanzo. tunaamin mambo yatakaa vzuri tu..
 
Wajinga nyie! Msomi wa chuo kikuu unanunuliwa kwa wali? Wapuuuzi wote nyie.
 
Back
Top Bottom