Hivi Mdahalo huu na ile miwili ya katiba imeratibiwa na taasisimoja? maana wadau wachangiaji waliokuwepo kwenye ile midahalo iliyopita sijawaona hususan wale wa vyama pinzani na CCM. lakini ajabu leo hata Nape amekuwepo japo kulingana na kijana kiongozi wa mdahalo anasema hakuna mtu aliyepewa mwaliko rasmi. kweli wazee wote akina Butiku wamekuja hapo bila mwaliko rasmi! tena wakawa wachangiaji wazuri vile! this is so interesting. Lisije likawa ni Gamba linajaribu kufunika nguvu ya midahalo iliyopita.
Taifa limeanza kupata uelekeo sahihi
Achana na issue za gamba is not logic
Ni kweli kwanza liliandaliwa ka haraka na chanzo au sababu ni ubishani kwenye panel moja ikapelekea hili kongamano.
makongamano yajayo tutajitahidi yawe na mialiko ya watu wote, lakini lengo ilikuwa kupata data fulani na mawazo ya watu wasiosikika sana
Prof Shivji anaamini kwenye AA
Personally siamini kwenye AA naamini kwenye sheria, na hoja kubwa ni kuwa hata kama AA itakuja tena, kama kuna viongozi dhaifu
wa kutosimamia litakuwa halina maana.
There willbe about 4 makomgamano ni mjadala wa kitaifa zaidi na unaoeleka kwenye capacity building hata ya vyama vya siasa ambavyo , vinaonekana havina think tanker wa kukaa chini na kudadavua mifumo yetu na matatizo yake, nadhani kwa mfano kuna sehemu prof kagusia ufisadi ni mfumo.. nakubaliana naye kwa asilimia 100! bila kujua na kutoa solutiona tutajaza majina kila siku ya wezi wa nchi hii na mwisho tutajistukia tunajitaja! though in politics anything is allowed! sasa tutofautishe siasa na hali halisi
Kudhihirisha kuwa tunajisahau sana kuwaza juu ya taifa letu, sisi wote regardless uko wapi na unafanya nini, kujadili AA na bila mbadala kwa zaidi ya miaka 25 ndiyo indicator kuwa taifa limelala. Nyerere aliwaza na akafanya kwa taifa lake , awe alifail au kufaulu he played is remarkable role...je sisi tunafanya nini??
Azimio la Arusha, lilikuwa ni azimio la misingi ya utu. Pamoja na mambo mengine, lilikuwa linasema hivi: ukitaka kulinda utu wako, heshima yako kama binadamu, jitegemee, ndio kusema, tumia raslimali zako na nguvu zako, na akili zako kujiendeleza. Usiwe kupe. Omba msaada pale tu unapoona huwezi kabisa. Lakini kwenye thread nyingine kuhusu AA nimeshangazwa kuona baadhi ya wana JF wakilikejeli Azimio hilo, wengine wakimlaumu Mwalimu eti kalilazimisha, na wengine wakilalamikia jitihada za Prof. Shivji kuzua mjadala huo ili yale mazuri yake tuyaweke kwenye katiba mpya. Ndugu zangu, mtu ni utu, ndivyo tulisema wakati wa AA, na sidhani maana hiyo imebadilika sasa eti kwa kuwa tuna wafadhili. Tunajidanganya.
Hapo kwenye nyekundu,sheria za nchi hutokana na katiba ya nchi.AA haikuwa incorporated kwenye katiba yetu kama watu wengi walivyotaka,especially when it comes to government leaders/workers.Hii ndiyo tunatakiwa kuifanyia kazi!!Achana na issue za gamba is not logic
Ni kweli kwanza liliandaliwa ka haraka na chanzo au sababu ni ubishani kwenye panel moja ikapelekea hili kongamano.
makongamano yajayo tutajitahidi yawe na mialiko ya watu wote, lakini lengo ilikuwa kupata data fulani na mawazo ya watu wasiosikika sana
Prof Shivji anaamini kwenye AA
Personally siamini kwenye AA naamini kwenye sheria, na hoja kubwa ni kuwa hata kama AA itakuja tena, kama kuna viongozi dhaifu
wa kutosimamia litakuwa halina maana.
There willbe about 4 makomgamano ni mjadala wa kitaifa zaidi na unaoeleka kwenye capacity building hata ya vyama vya siasa ambavyo , vinaonekana havina think tanker wa kukaa chini na kudadavua mifumo yetu na matatizo yake, nadhani kwa mfano kuna sehemu prof kagusia ufisadi ni mfumo.. nakubaliana naye kwa asilimia 100! bila kujua na kutoa solutiona tutajaza majina kila siku ya wezi wa nchi hii na mwisho tutajistukia tunajitaja! though in politics anything is allowed! sasa tutofautishe siasa na hali halisi
Kudhihirisha kuwa tunajisahau sana kuwaza juu ya taifa letu, sisi wote regardless uko wapi na unafanya nini, kujadili AA na bila mbadala kwa zaidi ya miaka 25 ndiyo indicator kuwa taifa limelala. Nyerere aliwaza na akafanya kwa taifa lake , awe alifail au kufaulu he played is remarkable role...je sisi tunafanya nini??
Hapo kwenye nyekundu,sheria za nchi hutokana na katiba ya nchi.AA haikuwa incorporated kwenye katiba yetu kama watu wengi walivyotaka,especially when it comes to government leaders/workers.Hii ndiyo tunatakiwa kuifanyia kazi!!
Azimio Jipya, sir,
ukizaliwa binadamu utaendelea tu kuwa binadamu hata kama ukichinja watu milioni sita kama Hitler alivyofanya wakati wa vita kuu ya pili ya dunia. Lakini tulio wengi tunapata shida kuamini kwamba matendo ya Hitler, au wengine ambao matendo yao yanawatesa binadamu wengine, ni matendo ya ki-utu. Na kwa kweli nakubaliana na wewe kabisa kwamba tunahitaji matendo ya utu kwenye nyanja nyingi za maisha yetu kama taifa. Tunataka ukiugua, wauguzi hospitali watujali. Tunataka utu kwenye maeneo mengine hayo uliyo yataja. Azimio la Arusha, lilikuwa ni jitihada za makusudi kabisa kujenga tunu za utu. Kwa hiyo sijui tunatofautiana wapi.
Nilichojifunza kutokana na mdahalo wa jana ni kuwa Azimio la Arusha lilikuwa icorporated kweny katiba/sheria za chama,CCM na ni kweli sio kwenye katiba. Ndio maana hasa baada ya mabadiliko kutokea AA likawa halina nguvu kuwaguide wafanyakazi wa serikali, likawa linawabind wale wa chamani tu