Katiba mpya sio muarobaini, katiba mpya sio kikombe cha babu kinachoweza kutibu magonjw ayote kwa mkupuo, ni mchakato wa kuweka dira wa kusema trunaenda wapi, tunelekea wapi? kujadiri matumaini yao, manung'uniko yao, ndiom maana mchakato ni muhimu kuliko katiba yenyewe.