SHIVJI ANASEMA;
Baada ya miaka 10, baada ya Kifo cha Mwalimu wananchi wa kawaida walipo hojiwa jinsi walivyomkumbuka Mwalimu walisema, wakimkumbuka mwalimu wanakumbuka AA.
Hii inaonyesha kuwa AA lilitujali, mwaka jana kwenye Kongamano la AA vijana wengi waliomba nakala ya AA. Na nakala chache zilizokuwepo ziligombewa.
Ushahidi wa kimazingira, mazingira yaliyopo leo, wananchi wamepoteza tumaini, hawajui ya kesho wala hawataki kujua ya kesho. Wamepoteza matumaini katika fikra za taifa lao, na baya zaiadi na hatari wameeanza kupoteza imani katika taasisi za vyombo vya..... (Sijasikia).
Katika hali kama hii ama unaangukia katika ushirikina au jambo mbadala litakalo toa matumaini. AA linatoa matumaini ndio maana wananchi walisema AA lilitujali na ndio maana vijana walitaka nakala za AA.