Kondoo na radi


Sasa radi ikipiga inasababisha vita gani kuzimu ni kati ya mashetani yenyewe au?
 


mkuu,juzi tu hapa ulitoa mada kuhusu kichwa cha ,mbuzi,ukakifananisha ya alama ya kishetani ukatia ufanano na mchoro wa uke,leo ni kondoo na siyo mbuzi tena
 
Naona wewe kidogo una utaalamu ,kuna hii ndoto naiota mara kwa mara niko na kiongozi mkubwa wa nchi tunatia story ,naomba unipe maana yake plz.
 
mkuu,juzi tu hapa ulitoa mada kuhusu kichwa cha ,mbuzi,ukakifananisha ya alama ya kishetani ukatia ufanano na mchoro wa uke,leo ni kondoo na siyo mbuzi tena

Ni uzao mmoja kwakuwa wote wapo kundi moja
 
Naona wewe kidogo una utaalamu ,kuna hii ndoto naiota mara kwa mara niko na kiongozi mkubwa wa nchi tunatia story ,naomba unipe maana yake plz.

Kuna kitu Kikubwa kizuri kitakutokea
 
Ni uzao mmoja kwakuwa wote wapo kundi moja


Avae sasa unatudanganya siyo kundi mmoja kiimani.

Kondoo hutumika katika sadaka ya wazi na ya ki Mungu ya Mwanga. Kondoo ni mpole, na huguna tu anapochinjwa kama sadaka

Mbuzi ni kinyume chake na ndio maana hutumika na wale waupande wa giza. Mbuzi hata ukimshika tu mguu atapiga kelele mpaka majirani waamke, ni mkorofi ni kipenzi wa sadaka ya giza.

Avae unajua sana haya kwa nini usisme kweli? Na baba wa uongo ni yule wa giza
 

Ulichokiongea ni tabia lakini vichwa vya wote wawili hasa madume ndio hutumika kwenye mambo ya giza
Madume ni jeuri katili na wabishi na hapa ndipo shetani anapotia mguu wake angalia michoro
 
Ulichokiongea ni tabia lakini vichwa vya wote wawili hasa madume ndio hutumika kwenye mambo ya giza
Madume ni jeuri katili na wabishi na hapa ndipo shetani anapotia mguu wake angalia michoro

hivi ni vichwa vya kondoo hivi ni vya mbuzi
Picha ifuatayo Natanguliza kuomba radhi sina maana ya kukejeli, ni picha inayohusisha sehemu zasiri na Kichwa cha kondoo dume na ndio maana ngono ni sehemu ya ibada muhimu ya kwenye dini ya mashetani
 

Mshana jr kwanini ngono ni sehemu kubwa katika ibada za shetani, ikiwa pamoja na ile ya kufanya kinyume cha maumbile? Msaada tafadhari
 
Mshana jr kwanini ngono ni sehemu kubwa katika ibada za shetani, ikiwa pamoja na ile ya kufanya kinyume cha maumbile? Msaada tafadhari

Ndio dhambi ya asili dhambi inayosadikika kutendwa kwa mara ya kwanza na mwanadamu kwa ulaghai wa sheatani
 
Khaa!! Prof Mshanajr kwa kweli miye huwa sioni kwenye ulimwengu wa giza..

https://scienceinquirer.wikispaces.com/file/view/MisconceptionsAboutLightning.pdf


:glasses-nerdy:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…