Kondomu zamnasa mwizi?

Kitu kingine nilichojifunza kwenye hii hadithi/kisa ni kwamba, usihitimishe jambo haraka haraka hata kama ushahidi wa kimazingira unaonyesha kabisa kwamba kuna kitu kimetokea hadi hapo utakapoona na kuthibiitisha mwenyewe.

Yule mwanamke kwa vile tu kondomu zinapungua akawa anafikiri mumewe anazitumia kwa umalaya!
 

Kweli kabisa mkuu umenena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…