Kondomu zaadimika mitaani,tatizo nini?

Kondomu zaadimika mitaani,tatizo nini?

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,255
Reaction score
8,027
Nimejaribu kufuatilia hili suala ni kwamba takribani mwezi mzima sasa kuna uhaba wa mipiria ya kiume Condoms, hili linaweza lisisemwe au likapuuzwa lakini ieleweke kua kuna hatari kubwa sana kukaongezeka kwa maambukizi ya VVU mtaani.

Siku ya juzi nilijaribu kuwatuma vijana wangu kufuatilia mtaani katika jiji la Dar ni takribani Pharmacy nyingi sana zina uhaba wa mipira hiyo,hata mahali ambapo zinapatikana ni kwa gharama kubwa sana tofauti na awali.

Ni wito wangu kwa mamlaka husika kulifatilia hili suala kwa makini na ukaribu ili kuepuka kupoteza nguvu kazi ya taifa, sote tunaelewa ni jinsi gani mipira hii imechangia kwa kiasi kikubwa sana kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya virusu vya UKIMWI VVU na Mimba zisizotarajiwa.
 
Nimejaribu kufuatilia hili suala ni kwamba takribani mwezi mzima sasa kuna uhaba wa mipiria ya kiume Condoms, hili linaweza lisisemwe au likapuuzwa lakini ieleweke kua kuna hatari kubwa sana kukaongezeka kwa maambukizi ya VVU mtaani.

Siku ya juzi nilijaribu kuwatuma vijana wangu kufuatilia mtaani katika jiji la Dar ni takribani Pharmacy nyingi sana zina uhaba wa mipira hiyo,hata mahali ambapo zinapatikana ni kwa gharama kubwa sana tofauti na awali.

Ni wito wangu kwa mamlaka husika kulifatilia hili suala kwa makini na ukaribu ili kuepuka kupoteza nguvu kazi ya taifa, sote tunaelewa ni jinsi gani mipira hii imechangia kwa kiasi kikubwa sana kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya virusu vya UKIMWI VVU na Mimba zisizotarajiwa.
Tangu 2014 uko JF. Kweli hujui kutenganisha majukwaa yanahusu nini? Unatafuta kondomu jukwaa la siasa?!!
Kuna tatizo ktk maisha yetu.
 
Nimejaribu kufuatilia hili suala ni kwamba takribani mwezi mzima sasa kuna uhaba wa mipiria ya kiume Condoms, hili linaweza lisisemwe au likapuuzwa lakini ieleweke kua kuna hatari kubwa sana kukaongezeka kwa maambukizi ya VVU mtaani.

Siku ya juzi nilijaribu kuwatuma vijana wangu kufuatilia mtaani katika jiji la Dar ni takribani Pharmacy nyingi sana zina uhaba wa mipira hiyo,hata mahali ambapo zinapatikana ni kwa gharama kubwa sana tofauti na awali.

Ni wito wangu kwa mamlaka husika kulifatilia hili suala kwa makini na ukaribu ili kuepuka kupoteza nguvu kazi ya taifa, sote tunaelewa ni jinsi gani mipira hii imechangia kwa kiasi kikubwa sana kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya virusu vya UKIMWI VVU na Mimba zisizotarajiwa.
Cheap condoms ndio adimu ..zimebaki branded condoms ambazo affordability kwa vijana wangi ni tatizo..Nadhani ni process ndefu ya kuziingiza nchini ndio tatizo
 
Tangu 2014 uko JF. Kweli hujui kutenganisha majukwaa yanahusu nini? Unatafuta kondomu jukwaa la siasa?!!
Kuna tatizo ktk maisha yetu.
alitaka ujumbe umfike rais moja kwa moja
 
US AID imeacha kuhudumia Tanzania kwenye eneo hilo kutokana na hujuma za wazi za uzazi wa Mpango zinazofanywa na Serikali ( fyatueni elimu ni bure ) , ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu , ukatiri na uminywaji wa demokrasia ni sababu nyingine zilizochangia wazungu kujitoa , kuna taarifa kwamba kinachofuatia ni ARVS
 
LABDA kama unaziongelea zile za buku buku ila zile zingine mbona nyingi mkuuu...labda hizo za bei cheee ndo adimu ila zile za mambefeleee zipo kibwenaaa..Nipe ORDER nafanya delivery kwa dar
 
US AID imeacha kuhudumia Tanzania kwenye eneo hilo kutokana na hujuma za wazi za uzazi wa Mpango zinazofanywa na Serikali ( fyatueni elimu ni bure ) , ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu , ukatiri na uminywaji wa demokrasia ni sababu nyingine zilizochangia wazungu kujitoa , kuna taarifa kwamba kinachofuatia ni ARVS





nasubiri beberu marekani liache kutoa msaada wa dawa za ukimwi na kifua kikuu na mathedon nioe nini kitatokea
 
Back
Top Bottom