Kondomu za BULL zinapasuka, ni hatari

Kondomu za BULL zinapasuka, ni hatari

Sina imani nazo tena... bei sio kigezo, Salama ni jero lakini ziko vizuri...
Uongo siyo kweli miongoni mwa kondomu classic na nzuri na sisizo na mafuta mengi na yenye harufu ni Bull condom unless zilikuwa zimexpire
 
Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako. Hasa kwenye mambo kama haya ya uzinifu.
 
Umenunua duka gani , kuna viwango vya joto ambavyo vinalinda ubora wa bidhaa kwenye maduka , shida ni kwamba mnanunua tu kwenye viduka uchwara huko Buza , condom zinapigwa na jua hadi zinapoteza ubora !
 
Pole sana mkuu.Hope kwenye hiyo mechi uliibuka kidedea Kwa 3-0.
 
Jifunze jinsi ya kuvaa condom,maelezi huwa wanatoa kwenye boxi lake haiwezi pasuka kabisa.
 
unanunua condom buku unataka isipasuke mm ndo maana sijisumbui napiga kavu liwalo na liwe
 
Back
Top Bottom