Kaka Pekee
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 336
- 559
Nimepita baadhi ya Vichochoro hapa Mitaa ya Manzese Mitaro Inaonekana Imeshiba hadi kurudisha Chenji huku asilimia kubwa ya Unavyoweza kuviona pembezoni au ndani ya Maji hayo vikielea ni Mipira ya Kiume (Kondomu). Hii ikanikumbusha siku niliyomuona mtoto mmoja akipuliza Kondomu kama Puto...Nilikuwa kwenye Daladala vinginevyo hakyanani ningemuuliza amepata wapi kisha ningewalamba vibao wahusika wa eneo hilo!
Aneweiii...To cut the Story Short!
1.) Nimefurahishwa na Hamasa ya WANAUME Wenzangu kujitambua na kupiga Soksi kabla ya Mechi Ila tujitahidi basi kufunga vizuri kwenye Karatasi / Toilet Paper kabla ya Kutupa.
2.) Kuna Umuhimu wa Jamii kupelewa Darasa Elekezi la namna bora ya Kutupa (Waste Disposal)ya Kondomu ili kuepusha utupaji hovyo...au ikibidi Kuweka Mapipa ya Taka Hatarishi Mtaani kwenye Viunga ili Iturahishie au Iwarahishie wenye Magesti kutupa humo kwa usalama wa watoto na Afya Zetu!
Aneweiii...To cut the Story Short!
1.) Nimefurahishwa na Hamasa ya WANAUME Wenzangu kujitambua na kupiga Soksi kabla ya Mechi Ila tujitahidi basi kufunga vizuri kwenye Karatasi / Toilet Paper kabla ya Kutupa.
2.) Kuna Umuhimu wa Jamii kupelewa Darasa Elekezi la namna bora ya Kutupa (Waste Disposal)ya Kondomu ili kuepusha utupaji hovyo...au ikibidi Kuweka Mapipa ya Taka Hatarishi Mtaani kwenye Viunga ili Iturahishie au Iwarahishie wenye Magesti kutupa humo kwa usalama wa watoto na Afya Zetu!