Anna Komu yupo CHADEMA, na CHADEMA ni chama makini, hakiko tayari sheria inapindishwa.
Hata hivyo kumfananisha Komu na Chatanda ni kutaka kumdhalilisha Komu.
Chatanda anaongea utadhani malaya wa Shiverz. Hana Adhabu. Kwa maneno yake ya kutukana Maaskofu amekwisha changanyikiwa tayari.
Chakushangaza ni kwamba hata CCM wameshindwa kutoa tamko, hii inaonyesha alichokifanya Chatanda ni kauli ya CCM siyo ya kwake. kama itakuwa basi Kikwete naye hii laana imkute, damu ya wale marehemu na majeruhi iwe juu yake na watoto wake, na kwa Makamba vilevile.