Komrade Wassira mkono shavuni- mpe neno

Komrade Wassira mkono shavuni- mpe neno

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
attachment.php
 

Attachments

  • 12063735_1043961882295391_1181229934956486579_n.jpg
    12063735_1043961882295391_1181229934956486579_n.jpg
    17.5 KB · Views: 3,265
Da! Bulaya hafai kabisa....teh teh
 
Anawaza, 'Sijui niende mahakamani kudai ubunge, sijui niache tu Magufuli atanikumbuka'. Tehe tehe!
 
Nafasi alikuwa anaitaka na sera zake za kilimo. Mungu alivyowaajabu hata ubunge kapigwa chini.
 
😀😀 anafikiria kale ka wimbo ka li chama lake libovu

🎤hatunywi sumu hatujinyongi🎤
 
meno ya mbwa hatimaye yameumana maana nyerere ndiye alimpakazia
 
Uwaziri atausikia kwenye TV....Safi Sana Bulaya Kumnyoosha alijisahau sana.
 
Back
Top Bottom