Kompyuta zenye ubora kwa mkopo

Kompyuta zenye ubora kwa mkopo

Mkuu vipi kwa individual ambao wanahitaji wanaweza kupata kwa mkopo? Akikupa details zake mfano alipo, shughuli zake, na mkakakubaliana terms of payment ?
 
Mkuu vipi kwa individual ambao wanahitaji wanaweza kupata kwa mkopo? Akikupa details zake mfano alipo, shughuli zake, na mkakakubaliana terms of payment ?
Mkuu kwa moja inakuwa kuna ugumu wa ku establish grounds za mkopo kwa individuals kama unachukua in bulk tunaweza kukaa chini na kuongea, haina tabu..
 
Uhamiaji kwenye zile flem zinazotizamana?
 
Tumepata shida kulihudumia hili tangazo kama inavyotakiwa kwa public at large... kwa sasa tuna loans mashule na hospitali tu, na kwa sasa zilizo dar es salaam tu.
 
Hakuna desktop za laki mbili cash hapo?
Hakuna chifu, hata bei ziko updated kwa sasa tangazo langu kwa laki tatu na nusu haliko valid tena, sasa angalau laki nne na thelathini.
 
Hakuna chifu, hata bei ziko updated kwa sasa tangazo langu kwa laki tatu na nusu haliko valid tena, sasa angalau laki nne na thelathini.
Mkuu kwa bei hiyo biashara itakuwa ngumu hiyo...
kama ni new brand sawa, utauza. Lakini kama ni used itachukua muda kuuza..
K/koo 250k unapata mashine kali sana tu..
 
Mkuu kwa bei hiyo biashara itakuwa ngumu hiyo...
kama ni new brand sawa, utauza. Lakini kama ni used itachukua muda kuuza..
K/koo 250k unapata mashine kali sana tu..
Nakuunga mkono mkuu.
 
mimi pia nahitaji mkopo binafsi, ila naweza wenzangu tukaungana tukawa hata watu wawili tukachukua. ila kwa laki tatu na nusu mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom