Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,270
Omari ni kijana nadhifu sana mtanashati wa huku kwetu Manerumango. alisomea ufundi wa gari na udereva VETA. Alipata ajira kwenye gereji ya Mangi akitafuta kazi kwenye mashirika au Serikalini.
Omar alibahatika kupendwa na mama wa ki Danish aliyekuwa mteja pale garaji mapenzi yalidumu hatimae walifunga ndoa na kupata watoto yule mama ni professor huko kwao ila anamkataba wa research inayofadhiliwa na WHO.
Karats ilimpomgeukia Omari kila mtu alishangaa Mangi pia siku hizi anamuita Omari boss wake 😂.
Tangu akiwa shule Omari alimpenda sana Lilian Lilian mama yake ni mwalimu na baba mfanya biashara maarufu. Lilian alishamkataa Omari kitamboo.
Sasa hivi Liliani amerudi nyumbani holiday, anapewa lift na Omari. Haamini macho yake. Omari wewe ndiyo unasukuma Mercedes Benz!
Liliana alikubali kumuonjesha Omari japo alikuwa na mchumba matatizo habari ilivuja namchumba alipata habari.
Mchumba aliumia sana kusalitiwa alikodi watu, walimteka Omari, walimfanyia ushenzi huku wakimrekodi na picha walimtumia mke wake wakieleza sababu ya wao kufanya vile mke alibeba wanae akaenda kwao alifunga madirisha ya mawawasiliano kabisa na Omari.
Omar alibahatika kupendwa na mama wa ki Danish aliyekuwa mteja pale garaji mapenzi yalidumu hatimae walifunga ndoa na kupata watoto yule mama ni professor huko kwao ila anamkataba wa research inayofadhiliwa na WHO.
Karats ilimpomgeukia Omari kila mtu alishangaa Mangi pia siku hizi anamuita Omari boss wake 😂.
Tangu akiwa shule Omari alimpenda sana Lilian Lilian mama yake ni mwalimu na baba mfanya biashara maarufu. Lilian alishamkataa Omari kitamboo.
Sasa hivi Liliani amerudi nyumbani holiday, anapewa lift na Omari. Haamini macho yake. Omari wewe ndiyo unasukuma Mercedes Benz!
Liliana alikubali kumuonjesha Omari japo alikuwa na mchumba matatizo habari ilivuja namchumba alipata habari.
Mchumba aliumia sana kusalitiwa alikodi watu, walimteka Omari, walimfanyia ushenzi huku wakimrekodi na picha walimtumia mke wake wakieleza sababu ya wao kufanya vile mke alibeba wanae akaenda kwao alifunga madirisha ya mawawasiliano kabisa na Omari.