Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
1" Goaaaal Raphael Daudi anaifungia Yanga goli la kwanza kwa kichwa
10" Yanga 1 -0 Welayta
30" Yanga bado wanaongoza kwa goli 1, timu zote zinacheza kwa tahadhari
45" Halftime sasa Yanga wanaongoza kwa goli 1-0
Kipindi cha pili kimeanza
54" Goaaal Emmanuel Martin anafunga goli la 2 kwa Yanga kwa kichwa
60" Yanga 1 - 0 Welayta
61" Mhilu anakosa goli la wazi baada ya kupiga kichwa nje akiwa kwenye nafasi nzuri ya kufunga
70" Vincent Dante upo chini ameumia, anapakizwa kwenye machela
74" Yanga wanafanya mabadiliko anatoka Dante anaingia Nadir Haroub
76" Yanga wanafanya mabadiliko mengine anatoka Kamusoko anaingia Pato
78" Hatari katika lango la Yanga lakini golikipa Rostand anaokoa na kuwa kona, kona inapigwa ila Yanga wanaokoa
80" Yanga bado wanaongoza kwa magoli 2-0 dhidi ya Welayta
90" Ninja ana,fanyia madhambi mshambuliaji wa Welayta katika eneo la hatari, Welayta wanapiga mpira adhabu unatoka nje
90" Dakika 2 zimeongezwa
Mpira umekwisha; Yanga 2-0 Welayta Ditcha
================
KIKOSI CHA YANGA SC HII LEO DHIDI YA WELAYTA DICHA.
1.Youthe Rostand
2.Hassan Kessy
3.Mwinyi Haji
4.Abdallah Shaibu "Ninja"
5.Andrew Vicent
6.Thaban Kamusoko
7.Yusuf Mhilu
8.Rafael Daudi
9.Pius Buswita
10.Ibrahim Ajib
11.Emmanuel Martin
AKIBA.
-Ramadhan Kabwili
-Juma Abdul
-Nadir Haroub
-Pato Ngonyani
-Juma Mahadhi
-Yohana Nkomola
-Geoffrey Mwashiuya
-Mchezo wa Mkondo wa Kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika Klabu ya Yanga SC Itaikalibisha Welayta Dicha kutoka Ethiopia Saa 10.00 katika Uwanja wa Taifa.
-Donald Ngoma Kaumia Mazoezini wakati wa Kujiandaa na Mchezo huu, Obrey Chirwa, Papy Tshishimbi,Said Makapu na Kelvin Yondani wamezuiliwa Mchezo huu Baada ya kuwa na Kadi Mbili za Njano huku Gadiel Michael Taarifa yake itakuja hivi Punde.
10" Yanga 1 -0 Welayta
30" Yanga bado wanaongoza kwa goli 1, timu zote zinacheza kwa tahadhari
45" Halftime sasa Yanga wanaongoza kwa goli 1-0
Kipindi cha pili kimeanza
54" Goaaal Emmanuel Martin anafunga goli la 2 kwa Yanga kwa kichwa
60" Yanga 1 - 0 Welayta
61" Mhilu anakosa goli la wazi baada ya kupiga kichwa nje akiwa kwenye nafasi nzuri ya kufunga
70" Vincent Dante upo chini ameumia, anapakizwa kwenye machela
74" Yanga wanafanya mabadiliko anatoka Dante anaingia Nadir Haroub
76" Yanga wanafanya mabadiliko mengine anatoka Kamusoko anaingia Pato
78" Hatari katika lango la Yanga lakini golikipa Rostand anaokoa na kuwa kona, kona inapigwa ila Yanga wanaokoa
80" Yanga bado wanaongoza kwa magoli 2-0 dhidi ya Welayta
90" Ninja ana,fanyia madhambi mshambuliaji wa Welayta katika eneo la hatari, Welayta wanapiga mpira adhabu unatoka nje
90" Dakika 2 zimeongezwa
Mpira umekwisha; Yanga 2-0 Welayta Ditcha
================
KIKOSI CHA YANGA SC HII LEO DHIDI YA WELAYTA DICHA.
1.Youthe Rostand
2.Hassan Kessy
3.Mwinyi Haji
4.Abdallah Shaibu "Ninja"
5.Andrew Vicent
6.Thaban Kamusoko
7.Yusuf Mhilu
8.Rafael Daudi
9.Pius Buswita
10.Ibrahim Ajib
11.Emmanuel Martin
AKIBA.
-Ramadhan Kabwili
-Juma Abdul
-Nadir Haroub
-Pato Ngonyani
-Juma Mahadhi
-Yohana Nkomola
-Geoffrey Mwashiuya
-Mchezo wa Mkondo wa Kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika Klabu ya Yanga SC Itaikalibisha Welayta Dicha kutoka Ethiopia Saa 10.00 katika Uwanja wa Taifa.
-Donald Ngoma Kaumia Mazoezini wakati wa Kujiandaa na Mchezo huu, Obrey Chirwa, Papy Tshishimbi,Said Makapu na Kelvin Yondani wamezuiliwa Mchezo huu Baada ya kuwa na Kadi Mbili za Njano huku Gadiel Michael Taarifa yake itakuja hivi Punde.