The best team lost the match....haaaaaa..maximooooo anza ku google kutafuta sababu za kwa nini tumekandamizwa...watu wa magazeti kesho fitna ianze hakuna msamaha hapa ..tushachoka
Really?
Mazee tulikuwa tunaangalia gemu ileile au nyingine? Maana sijaona chochote pale. Hivi tuna matatizo gani kama taifa? maana kila kitu ni substandard tu ad nauseum ad infinitum.
Really?
Mazee tulikuwa tunaangalia gemu ileile au nyingine? Maana sijaona chochote pale. Hivi tuna matatizo gani kama taifa? maana kila kitu ni substandard tu ad nauseum ad infinitum.