Magulumangu JF-Expert Member Jan 7, 2010 3,047 455 Apr 1, 2010 #21 naleta yangu mada, komamanga kwangu ni kada, nakumbuka kwa hili sada, langu ni la shy kamwe nalipenda,
naleta yangu mada, komamanga kwangu ni kada, nakumbuka kwa hili sada, langu ni la shy kamwe nalipenda,
drphone JF-Expert Member Sep 29, 2009 3,542 281 Apr 9, 2010 #22 hapo sasa mabingwa wa mashairi haya uwanja wenu yetu macho