Kofi Annan - Katibu Mkuu Mstaafu wa Umoja wa Mataifa

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,870
34,354
Kofi annan.jpg


"Naamini kuwa changamoto halisi ya usalama katika bara la Afrika kwanza ni UONGOZI!
Viongozi ambao wanakaa madarakani "hadi waamue wao kuondoka" kwa kuchezea kila Uchaguzi unaofanyika, kukandamiza wanaowakosoa na kunyanyasa vyama vya upinzani - ndio wanapanda mbegu za vurugu na kutoweka kwa amani.


Kofi Annan - Katibu Mkuu Mstaafu wa Umoja wa Mataifa.
 
Ni kweli! Ukiangalia bara hili tatizo ni moja tu....Kung'ang'ania madaraka au kuweka uwapendao. Unafiki unatuangusha sana
 
Back
Top Bottom