Wahivihivi
Member
- Aug 31, 2013
- 12
- 1
Hivi jamani watanzani tunakwenda wapi kodi ya line za simu itatusaidia nini wakati vyanzo vikubwa vya mapata kama bandari vimejaa zegwe na sasa nchi zisizo na bandari zinatukimbia tunabaki kulazisha watu walipe kodi zisizo eleweka maana yake ni nini.