Kodi ya kichwa irudishwe

Kodi ya kichwa irudishwe

sasa kama ile sijui ilikua mia mbili watu walikua wanakimbia familia zao na kujificha msituni, sasa hivi si itakua balaa?
 
Wewe utakuwa mgambo tu, hivyo unajua kabisa kwamba kodi ya kichwa ikirudishwa basi ajira unayo moja kwa moja,
 
Wewe utakuwa mgambo tu, hivyo unajua kabisa kwamba kodi ya kichwa ikirudishwa basi ajira unayo moja kwa moja,
Hapana mimi sio mgambo ni raia wa kawaida mwenye vigezo vya kupiga kura
 
kodi ya kichwa ni kodi kandamizi..na actually ilianzishwa na wakoloni mahususi ili kuwafanya waafrica wafanye kazi kwenye mashamba ya wazungu kwa ujira kidogo.
 
Mods tutasababishiana BAN tu bila sababu...
 
Hiyo haiwezi tokea, kodi ya kichwa ilikuwa kodi ya kikoloni
Sio kuwa na maana!
Utakichaji kichwa kimezalisha nini, kimetoa huduma gani?
Kodi ni kwenye goods and services
Kichwa sio bidhaa wala service
Hii kodi nilipokuwa mtoto nilikuwa naona baba zangu wakisumbuka sana na hii kodi, wakienda sehemu karatasi wanakuwa nayo, natumai kwa utandawazi wa sasa zitafojiwa karatasi nyingi tu
 
Back
Top Bottom