Kodi vituo vya kujazia mafuta yapamba moto

Kodi vituo vya kujazia mafuta yapamba moto

Swash Bizo

Senior Member
Joined
Jan 29, 2011
Posts
141
Reaction score
93
Habari ni wana JF.

Kutokana na uthibiti wa EFD receipt ktk kila kituo cha kujazia mafuta sasa tunaweza kupata Kodi stahiki kwa kudhibiti yafuatayo:

1. Udanganyifu wa kulipa income tax kwa kila kituo cha mafuta.

2. Udanganyifu wa kuweka record za ununuzi na uuzaji wa mafuta kutoka yanapoanzia hadi kwa mtumiaji. Hapa kwa kila kampuni iliyohusika italipa kodi stahiki.

3. Uthibiti wa uuzaji wa mafuta ya dili yasiyokuwa na uhalali wa uingizaji. Hapa tunajiongezea mapato.

Hongera Dr. Mpango!

Sent from my itel it1409 using JamiiForums mobile app
 
Achilia hayo uliyoyataja mm ule mchezo was kuweka mafuta ya 20000 wanaweka 5000 sasa watakoma maana risiti inatoka na being nimeziona puma safi sana wametuumiza na wizi huo.
 
Back
Top Bottom