Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Wakuu JK amewahi kutamka hadharani kwamba ana Ng'ombe 400 na shamba la mananasi ekari kama sikosei 20 (I stand to be corrected on this no.).
1. Well kwa biashara ya maziwa na hata ng'ombe wa maziwa JK analipa kodi?
2. Je yale mananasi akiyatoa kule kijijini huwa analipa kodi ya kijiji na baada ya mauzo?
Wengi wetu jibu la hayo maswali ni rahisi tu, kwamba well who does that? Nani analipa kodi ya kuuza maziwa, miwa au mananasi. Au ndiyo kutaka kumzushia mkulu?
Sasa twende upande wa pili, je Lipumba analipa kodi na ni kiasi gani? Mangula, Makamba na viongozi woote wa CCM waliotangulia wwalikuwa wanalipa kodi? Katibu mkuu wa TLP au Maalim walikuwa wanalipa kodi? Na kama hapana kwa nini? Na kwa nini hii ya Dr. Slaa iwe ni ishu tena wakati huu?
I believe TRA is bigger than this hivyo basi wafanye utafiti na watengeneze mfumo mzuuri wa ulipaji kodi. Binafsi nna uhakika wengi wetu tumelipa hiyo PAYE kubwa kuliko JK aliyolipa toka ameanza kazi to date pamoja na kwamba may be tumeanza kazi about 25 yrs toka yeye aanze. Hatujawahi kuwa mawaziri wala maraisi. Je total income to date ni sawa?
NB: Mods pls msiichanganye hii thread kwanza, at least for a day.
1. Well kwa biashara ya maziwa na hata ng'ombe wa maziwa JK analipa kodi?
2. Je yale mananasi akiyatoa kule kijijini huwa analipa kodi ya kijiji na baada ya mauzo?
Wengi wetu jibu la hayo maswali ni rahisi tu, kwamba well who does that? Nani analipa kodi ya kuuza maziwa, miwa au mananasi. Au ndiyo kutaka kumzushia mkulu?
Sasa twende upande wa pili, je Lipumba analipa kodi na ni kiasi gani? Mangula, Makamba na viongozi woote wa CCM waliotangulia wwalikuwa wanalipa kodi? Katibu mkuu wa TLP au Maalim walikuwa wanalipa kodi? Na kama hapana kwa nini? Na kwa nini hii ya Dr. Slaa iwe ni ishu tena wakati huu?
I believe TRA is bigger than this hivyo basi wafanye utafiti na watengeneze mfumo mzuuri wa ulipaji kodi. Binafsi nna uhakika wengi wetu tumelipa hiyo PAYE kubwa kuliko JK aliyolipa toka ameanza kazi to date pamoja na kwamba may be tumeanza kazi about 25 yrs toka yeye aanze. Hatujawahi kuwa mawaziri wala maraisi. Je total income to date ni sawa?
NB: Mods pls msiichanganye hii thread kwanza, at least for a day.