wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 554
nimekuta nyumba moja wakizozona na wakusanya taka kata ya majengo wanadai efu 4000/=kila mtu kwa mwezi hata kama taka huna kwa mwaka elfu 48,000/= wameonesha barua iliotoka kwa mkurugenzi haina muhuri wala saini ya mkurugenzi hizo ndizo kodi kero kwa wakazi Wa manispaa