inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,938
- 18,202
Kinachoibeba barce messi tu,ndiye anaevuruga plan za timu pinzani..ukimtoa messi barce wanamchapa usiku na mchana..Najua umekubaliana na Mimi mkuu kuwa varverde hana kikosi kizuri kama cha Madrid na anafanya mambo makubwa imagine angekuwa na ukuta kama wa atletico Madrid angefungwa hata goal 1?