Kocha wetu hana uwezo wa kufundisha Simba

Labda aingie uwanjani acheze ndio mtaridhika,,,,nafasi zinatengenezwa na wafungaji wanakosa kufunga magoli...kosa la kocha ni lipi hapo..

PD pia ni timu na wanahitaji mafanikio.
Umeingia chaka mkuu, huyo aliyeanzisha mada ni UTO PRO MAX, hakuna sehemu mashabiki wala viongozi wa simba wamemlaumu kocha
 
Wachezaji 13 wameshindwa kucheza mpira mnamlaumu kocha.
Mnataka kocha aingie dimbani afunge magoli?
Wachezaji waache uzembe,wafanye mazoezi wacheze mpira hiyo ndio kazi yao.
Sio kulewa tu mkifungwa lawama kwa kocha.
Mtabadilisha makocha wangapi.
Na anayekuja mtamfukuza,
Tatizo sio kocha.
Ni hao Wachezaji maybe hata hawaelewi wanachofundishwa.
 
Labda aingie uwanjani acheze ndio mtaridhika,,,,nafasi zinatengenezwa na wafungaji wanakosa kufunga magoli...kosa la kocha ni lipi hapo..

PD pia ni timu na wanahitaji mafanikio.
Mtu, (mchezaji na goli) ambalo kipa hayupo anashindwa kufunga mnamulaumu kocha buree! kipa hayupo golini mpaka anarudi na kuokoa mpira duu nyie nadhani amsheni bongo zenu kwakufikiri nje ya box
 
Mchezaji anakosa goli za wazi kama tatu hivi, clear chance Yani Kwa mchezaji mwingine hesabu Leo ingekuwa ni kama Tano hivi, hili nalo nani alaumiwe?.
 
𝗠𝗔𝗪𝗔𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗠𝗧𝗨 𝗬𝗔𝗛𝗘𝗦𝗛𝗜𝗠𝗜𝗪𝗘

Almost tunamaliza mwaka chini ya Robertinho lakini mpaka sasa hatuna identify ya mpira tunao utaka, hatuna kikosi cha kwanza na wala hatuchezi vizuri.

Msimu ulio pita nilidhani labda ni sababu ya ufinyu wa kikosi alicho nacho. Ila sasa ameletewa wachezaji wapya lakini almost wachezaji wote wanashindwa ku-perform chini yake.

Sijui kwenu ila binafsi uvumilivu umeanza kunishinda naona kama ni kocha average ambaye ameshindwa kwenda na mahitaji ya Simba.

Tunataka kocha sahihi ambaye atarudisha identity ya mpira wa Simba

NB. Hapa sim-attack kocha ila naongea reality.

#NguvuMoja

Sent using Jamii Forums mobile app
mfukuzeni ili mumlipe mipesa. ila hata kwa kumwangalia tu, yule sio kocha.
 
Back
Top Bottom