Ndio ni nguvu moja...Eti simba guvu moja hahaha
Nyie mpira mtelezo muutolee wapiii..Wazee wa pira papatu papatu! Yaani ni kukimbia kimbia tu uwanjani.
Umeingia chaka mkuu, huyo aliyeanzisha mada ni UTO PRO MAX, hakuna sehemu mashabiki wala viongozi wa simba wamemlaumu kochaLabda aingie uwanjani acheze ndio mtaridhika,,,,nafasi zinatengenezwa na wafungaji wanakosa kufunga magoli...kosa la kocha ni lipi hapo..
PD pia ni timu na wanahitaji mafanikio.
Tushawaambia timu wampe Mgunda wanatuona hatuna jema na timu yaoNadhani shida ni uongozi.Nimeanza kuona umuhimu wa timu hii kupewa vijana.
Labda alikuwa Hana mambo ya 10%Mgunda aliimudu timu, sijui kwanini walimtoa
Aahaaaaaa,umenikumbusha mbali sana aiseeFukuzaneni si mliwahi kujisifu kuiba wachezaji airport
ona hiii kenge ya kijani, mashabiki na viongozi wanacheza namba ngapi hapo uwanjani??Kocha ataonewa bure.
Tatizo la Simba ni Uongozi na Mashabiki
Mtu, (mchezaji na goli) ambalo kipa hayupo anashindwa kufunga mnamulaumu kocha buree! kipa hayupo golini mpaka anarudi na kuokoa mpira duu nyie nadhani amsheni bongo zenu kwakufikiri nje ya boxLabda aingie uwanjani acheze ndio mtaridhika,,,,nafasi zinatengenezwa na wafungaji wanakosa kufunga magoli...kosa la kocha ni lipi hapo..
PD pia ni timu na wanahitaji mafanikio.
Hawa wanataka miguu ya kocha ifungwe ghafla kwenye miguu ya mfungajiMchezaji anakosa goli za wazi kama tatu hivi, clear chance Yani Kwa mchezaji mwingine hesabu Leo ingekuwa ni kama Tano hivi, hili nalo nani alaumiwe?.
mfukuzeni ili mumlipe mipesa. ila hata kwa kumwangalia tu, yule sio kocha.𝗠𝗔𝗪𝗔𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗠𝗧𝗨 𝗬𝗔𝗛𝗘𝗦𝗛𝗜𝗠𝗜𝗪𝗘
Almost tunamaliza mwaka chini ya Robertinho lakini mpaka sasa hatuna identify ya mpira tunao utaka, hatuna kikosi cha kwanza na wala hatuchezi vizuri.
Msimu ulio pita nilidhani labda ni sababu ya ufinyu wa kikosi alicho nacho. Ila sasa ameletewa wachezaji wapya lakini almost wachezaji wote wanashindwa ku-perform chini yake.
Sijui kwenu ila binafsi uvumilivu umeanza kunishinda naona kama ni kocha average ambaye ameshindwa kwenda na mahitaji ya Simba.
Tunataka kocha sahihi ambaye atarudisha identity ya mpira wa Simba
NB. Hapa sim-attack kocha ila naongea reality.
#NguvuMoja ️
Sent using Jamii Forums mobile app
wanasajili wachezaji airportKocha ataonewa bure.
Tatizo la Simba ni Uongozi na Mashabiki