Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,489
- 70,279
Eti watu wanadai Everton walipokuja bongo waliondoka na gundu la kutosha kiasi kwamba walipofika jijini Liverpool kwenye kiwanja chao cha Goodson Park gundu kidogo lilifanikiwa kupeperuka na kukatiza katikati ya Stanley Park hadi Anfield kwa majirani zao Liverpool ndio maana wanapokea vipigo kila uchwao.