autorun255
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,105
- 364
Baada ya timu barcelona kutofanya vizuri la liga, champions league na kukosa kikombe msimu huu kocha wa barcelona ameamua kuresign.
Source: supersport
Source: supersport
Dah, ningetamani sana jambo kama hili Wenger wetu ajiuzulu pia hata kama jana tulishinda FA Cup!!!!!
Naskia wenga anaongeza mkataba.
Yaani we acha tu!!!!Naskia wenga anaongeza mkataba.
Baada ya timu barcelona kutofanya vizuri la liga, champions league na kukosa kikombe msimu huu kocha wa barcelona ameamua kuresign.
Source: supersport
Dah, ningetamani sana jambo kama hili Wenger wetu ajiuzulu pia hata kama jana tulishinda FA Cup!!!!!
=Ajiudhuru
kocha mzuri ni wa tabu na raha au kasoma alama za nyakati siku zijazo..
ngoja leagua yangu ya mchangani(kombe la kuku) iishe ..niombe msimu ujao niwe kocha wa barca
Mtukutu Luis Enrique kapewa timu kwa mujibu wa Fox Sports.
Huyu ndo atafanya timu iwe nafasi ya 7 kama maniyuu
Huyu ndo atafanya timu iwe nafasi ya 7 kama maniyuu