Kocha Pablo arudi darasani

Orketeemi

JF-Expert Member
Feb 12, 2013
4,313
10,017
Naandika maoni haya nikiwa nimeshuhudia mechi kadhaa za Simba chini ya Pablo Franco.

Naandika Kwa msisitizo kwamba kocha Pablo ana mengi ya kujifunza ili kuwa kocha Bora.

Nashangaa pamoja na "li CV" likubwa tuliloaminishwa kuwa Pablo analo lakini anashindwa kutambua kwamba pamoja na mbinu mbalimbali kocha anapaswa kuwa msaada katika kuituliza timu Mambo yanapokuwa magum uwanjani.

Kocha Pablo timu yake ikiwa katika wakati mgum , basi yeye badala ya kutulia kuusoma mchezo amekuwa wa Kwanza kupanik na kuwa na pressure isiyo na msingi.

Kwa mfano kipigo cha Leo kutoka Mbeya City limechangiwa na kocha Pablo kukosa msaada na plan B ,pia badala ya kuituliza timu ameipanikisha na kuipotezea umakini , huku akiiongezea presha.

Hivi ni kweli Simba walimuona Pablo akifundisha Real Madrid au walisimuliwa tu na wachambuzi wa mchongo?
 
Mwalimu anapokua na panic muda mwingi jua huyo hamna kitu.

Majibu yamepatikan why hakai Sana na timu moja ?
Hata hapa Simba Hana muda mrefu Ni swala la muda tu.
Mwalimu anapaswa kutuliza wachezaji ,Sasa mwalimu akipanic wanafunzi wafanye nn?
Pumbavu kabisa ,hakuna kocha pale na ndie katulaza na viatu leo ,na washamjulia timu nyingi zinaenda kukamia Simba Hadi afukuzwe
 
Naandika maoni haya nikiwa nimeshuhudia mechi kadhaa za Simba chini ya Pablo Franco.

Naandika Kwa msisitizo kwamba kocha Pablo ana mengi ya kujifunza ili kuwa kocha Bora.

Nashangaa pamoja na "li CV" likubwa tuliloaminishwa kuwa Pablo analo lakini anashindwa kutambua kwamba pamoja na mbinu mbalimbali kocha anapaswa kuwa msaada katika kuituliza timu Mambo yanapokuwa magum uwanjani.

Kocha Pablo timu yake ikiwa katika wakati mgum , basi yeye badala ya kutulia kuusoma mchezo amekuwa wa Kwanza kupanik na kuwa na pressure isiyo na msingi.

Kwa mfano kipigo cha Leo kutoka Mbeya City limechangiwa na kocha Pablo kukosa msaada na plan B ,pia badala ya kuituliza timu ameipanikisha na kuipotezea umakini , huku akiiongezea presha.


Hivi ni kweli Simba walimuona Pablo akifundisha Real Madrid au walisimuliwa tu na wachambuzi wa mchongo?
Hakika ulichoandika ni kweli, Kocha badala ya kutulia yeye ndiyo alikuwa amepanic vibaya, kazi ikawa kwa Matola kujaribu kumtuliza lakini wapi? Sababu kubwa ya kupoteza mechi ile ni Pablo, aliwaongezea pressure wachezaji
 
Naandika maoni haya nikiwa nimeshuhudia mechi kadhaa za Simba chini ya Pablo Franco.

Naandika Kwa msisitizo kwamba kocha Pablo ana mengi ya kujifunza ili kuwa kocha Bora.

Nashangaa pamoja na "li CV" likubwa tuliloaminishwa kuwa Pablo analo lakini anashindwa kutambua kwamba pamoja na mbinu mbalimbali kocha anapaswa kuwa msaada katika kuituliza timu Mambo yanapokuwa magum uwanjani.

Kocha Pablo timu yake ikiwa katika wakati mgum , basi yeye badala ya kutulia kuusoma mchezo amekuwa wa Kwanza kupanik na kuwa na pressure isiyo na msingi.

Kwa mfano kipigo cha Leo kutoka Mbeya City limechangiwa na kocha Pablo kukosa msaada na plan B ,pia badala ya kuituliza timu ameipanikisha na kuipotezea umakini , huku akiiongezea presha.


Hivi ni kweli Simba walimuona Pablo akifundisha Real Madrid au walisimuliwa tu na wachambuzi wa mchongo?
Huu ushabiki maandazi sasa, yaani kufungwa mechi moja tayari kocha hafai. Ingawa nakubaliana nawe kuwa ana tatizo la kuhamaki hovyo, lakini tuache kulalamika timu inapofungwa. Kumbuka huchezi na miti uwanjani bali na watu kama wewe.
 
Pablo ni kocha mzuri sana hilo halina ubishi kabisa. Ameibadilisha Simba ya Da Rossa iliyokuwa inaelekea shimoni kabisa kuwa na angalau na uhai huu iliyonao sasa. Lakini sasa udhaifu wake mkubwa ni kupaniki ovyo hata kwa vitu visivyo vya msingi kiasi anaitoa timu mchezoni wakati yeye ndio anatakiwa aitulize timu. Yaani muda wote wa mchezo yeye ni kugombana na waamuzi wa akiba wakati anatakiwa ausome mchezo ili afanye "sub" zenye akili.
 
PABLO hafai hafai kabisa. Mfumo wake wa lushambulia haueleweki. Anashindwa kupanga kikosi kulingana na mpinzani na aina ya uanja. Annanza je na wakabaji watatu bila kuweka kiongo mshambuliaji asilia? Sacko ni mzuri katika kkutambuka walinzi na kulisha washambuliaji wa mwisho na angefaa acheze katikati lakini yeye anamfanya acheze chini sana! Huyu kocha ndiye atatufanya tuuteme ubingwa wetu. Na huko CAF kwenye makundi tusitarajie chochote. BORA aende zake. Tumeliwa
 
Huu ushabiki maandazi sasa, yaani kufungwa mechi moja tayari kocha hafai. Ingawa nakubaliana nawe kuwa ana tatizo la kuhamaki hovyo, lakini tuache kulalamika timu inapofungwa. Kumbuka huchezi na miti uwanjani bali na watu kama wewe.
Sijasema kocha hafai , nmesema anatakiwa arud darasan kujifunza nafasi ya kocha pale ambapo timu ina wakati mgum uwanjani.

Hakuna kocha asiye na mapungufu hivyo ni suala la Pablo kujirekebisha au kufundwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom