Kocha mtangazaji aitwaye Edo Kumwembe - msome hapo

Tarishi

Senior Member
May 9, 2008
103
133
JICHO LA MWEWE: Simba inahitaji wanaume watatu wa nguvu
fAkwE9XW.jpeg
fAkwE9XW.jpeg


By EDO KUMWEMBE

TUKUTANE uwanja wa ndege. Simba itakuwa inasafiri labda kwenda Rwanda, Yanga itakuwa inasafiri kwenda Misri. Kule kwa Yanga kiasi wametimia, huku kwa Simba kunahitajika wanaume watatu wengine kabla ya kupanda ndege kwenda hiyo safari yao.

Simba inahitaji kuingia sokoni kwa umakini na kununua wachezaji watatu wa kigeni wa maana ambao, kwa hapa nchini sijawaona mpaka sasa. Mgongo wa timu ni mlinzi wa kati kiongozi mwenye uzoefu.

Kisha kiungo mahiri mwenye nguvu na uzoefu, halafu mshambuliaji wa nguvu anayeweza kufunga mabao 20 ya msimu.

Kwa kuanzia katika ushambuliaji Simba wamekwenda kwa John Bocco. Siyo mbaya. Kwa kulinganisha washambuliaji ambao wanao sasa hivi, Bocco ni bora zaidi. Bocco aliye fiti bila ya majeraha ni bora kuliko Laudit Mavugo au shujaa wa juzi, Fredric Blagnon.

Anahitajika mtu kama Donald Ngoma wa Yanga. Mtu msumbufu, mwenye nguvu, asiyeogopa, lakini cha msingi zaidi awe na jicho la kuona lango. Niliandika mitandaoni, Ngoma hajaichezea Yanga katika Ligi tangu Januari, lakini Mavugo hakuweza kufikia mabao yake katika ligi.

Kwa muda mrefu Simba imekosa mshambuliaji tishio huku ikishindwa kufanya vyema katika soko la uhamisho la wachezaji wa kimataifa. Tangu alipoachwa huru Amiss Tambwe na kununua Dan Sserunkuma, Simba haijapata mtu wa uhakika pale mbele.

Katika nafasi ya ulinzi Simba wanahitaji mtu kiongozi, mbabe, mwenye akili ya mpira kama Serge Paschal Wawa. Huyu Method Mwanjali inaonekana umri umesogea na ndiyo maana hata majeraha yake yamechukua muda mrefu.

Hata kama angekuwa fiti, katika mechi za kimataifa Simba tayari ilikuwa inahitaji beki wa nguvu wa kucheza naye sambamba. Juzi James Kotei amecheza vizuri katika nafasi hiyo, lakini nadhani bado anahitajika mlinzi wa nguvu zaidi.

Simba pia wanahitaji kiungo mwingine mwenye mamlaka uwanjani. Kiungo ambaye pia atakuwa kama kiongozi wa eneo hilo. Kuna utoto mwingi katika eneo la kiungo la Simba hasa katika kutengeneza mashambulizi ya haraka haraka.

Anahitajika kiungo wa aina ya Athuman Idd Chuji au Patrick Mafisango. Kiungo mwenye mamlaka dhidi ya wenzake na wachezaji wa timu pinzani.

Anayeweza kucheza pasi ndefu na fupi pale inapolazimu. Anayeweza kubadili uwanjani na kuacha soka la kitoto ambalo baadhi ya viungo wa Simba wanacheza kwa sasa.

Kwa kuanzia Simba wanahitaji kuwa na wanaume watatu wa nguvu katika idara hizo tatu ambazo ni muhimu zaidi. Wakati mwingine timu zetu zinajaza wachezaji bila ya umakini mkubwa. Jaribu kuona utoto ambao Simba waliufanya katika dirisha dogo la uhamisho. Wachezaji waliowachukua walijaza idadi zaidi badala ya kujaza ubora katika kikosi.

Simba wakileta mzaha huu katika mechi za kimataifa hawatafika mbali ingawa ni tamaduni yao kucheza vema katika mechi za aina hiyo.

Maeneo mengine wanaweza kujaza wachezaji mahiri wa nyumbani, lakini hili la mlinzi wa kati, kiungo wa kati na mshambuliaji mahiri wa kati halihitaji mzaha.

Nimejaribu kuangalia wachezaji wetu wengi wazawa katika nafasi hiyo naona bado hawapo tayari. Itazame vizuri Yanga. Ilibadilika zaidi pale walipowachukua Thaban Kamusoko na Ngoma. Mmoja aliibadili timu katika eneo la kiungo mwingine akaibadili katika eneo la ushambuliaji. Tambwe na Obrey Chirwa lilikuwa ongezeko la ubora tu, lakini tayari walishakuwa na msingi wa timu.

Azam ilibadilika zaidi wakati walipowaleta pacha, Kipre Tchetche na Kipre Balou. Mmoja akaibadili safu ya kiungo na mwingine akaibadili safu ya ushambuliaji. Kina John Bocco na Himid Mao walikuwa ongezeko tu la ubora wao. Wameondoka hao wawili timu imeyumba. Simba wasijidanganye kabisa. Timu yao bado ina mapungufu na haipo tayari sana kwa mechi za kimataifa ingawa tayari ina tiketi mkononi. Wasifanye makosa ambayo wameyafanya katika dirisha kubwa lililopita halafu wakayarudia tena katika dirisha dogo.

Hawa wanaume watatu wa kuibadili timu wasiwe wachezaji wa bei rahisi wala wale wa kuja kufanyiwa majaribio. Mchezaji mzuri hafanyiwi majaribio.

Ni kama ambavyo akina Kipre na Ngoma hawakufanyiwa majaribio. Mchezaji mzuri anajulikana na hawezi kukubali kufanyiwa majaribio. Wakishapata wachezaji wa nguvu katika nafasi hizo tatu nadhani tunaweza kukutana Uwanja wa Ndege kwa furaha bila ya wasiwasi. Kwa hali ilivyo sasa, kama wanasumbuliwa na Kagera Sugar, Toto na Mbao basi wasitegemee maajabu katika mechi za kimataifa. Watakuwa wanamaliza nauli tu. Kwa sasa kuna wavulana wengi katika kikosi chao.

Hawawezi kucheza mechi ngumu na hawawezi kubadili matokeo kirahisi.

Hata wakati huu wakiwa wanawania pointi za mezani Fifa kitu cha msingi zaidi kwao ilikuwa kutafakari namna ambavyo pengo la pointi nane baina yao na Yanga lilivyopotea wakati Ligi ikiendelea

Ilitokana na kuwa na wavulana wengi mabishoo ndani ya uwanja ambao, hawakujua kuzicheza mechi ngumu, sasa itakuwaje zile za kimataifa.
 
Edo ananikumbusha mtangazaji mmoja ambaye sasa ni Mbunge kwa jina Juma Nkhamia. Hawa wawili ni mama mmoja baba mmoja katika kujua mpira - wa mdomoni. Ajabu ni kwamba hakuna hata mmoja aliyewahi kucheza hata chandimu. Ila ujuaji wa kila kitu kinachohusu mpira ndio usiseme. Na watu wa aina hii ndio wanaorudisha maendeleo ya mpira katika nchi hii. ujuaji wao (mwengine mjuaji na mtaka sifa ni Maestro wa Clouds FM).

Tena afadhali kidogo Nkhamia kapitia shule ya uandishi na hata kutangaza hadi BBC hivyo kwa upana wa maono ya kielimu na uzoefu na 'exposure' unaweza kumsamehe anapochongo. Ila huyu Edo ana walakini. hata hao wanaompa kibarua (najua hana ajira, ni deiwaka tu) wanafikiria nini kuidharirisha kituo bora kama hicho anachofanyia kazi.

sina matatatizo na huyu edo kwani simjui hanijui na wala akipata ama akikosa mie kwangu haimaanishi chochote. namwanika hapa ili kumpa ujumbe kuwa anachefua watu. Wazungu humwita mtu kama yeye 'Jack of all trades, master of none" yaani "mtu wa fani zote, na si mjuzi wa hata mojawapo". Maana kwenye siasa utamkuta (toka ajue ku-tweet imekuwa shida) na sasa anataka kuchefua watu kwenye soka.

Ukimsoma hapa chini utanielewa

T


JICHO LA MWEWE: Simba inahitaji wanaume watatu wa nguvu
By EDO KUMWEMBE

TUKUTANE uwanja wa ndege. Simba itakuwa inasafiri labda kwenda Rwanda, Yanga itakuwa inasafiri kwenda Misri. Kule kwa Yanga kiasi wametimia, huku kwa Simba kunahitajika wanaume watatu wengine kabla ya kupanda ndege kwenda hiyo safari yao.

Simba inahitaji kuingia sokoni kwa umakini na kununua wachezaji watatu wa kigeni wa maana ambao, kwa hapa nchini sijawaona mpaka sasa. Mgongo wa timu ni mlinzi wa kati kiongozi mwenye uzoefu.

Kisha kiungo mahiri mwenye nguvu na uzoefu, halafu mshambuliaji wa nguvu anayeweza kufunga mabao 20 ya msimu.

Kwa kuanzia katika ushambuliaji Simba wamekwenda kwa John Bocco. Siyo mbaya. Kwa kulinganisha washambuliaji ambao wanao sasa hivi, Bocco ni bora zaidi. Bocco aliye fiti bila ya majeraha ni bora kuliko Laudit Mavugo au shujaa wa juzi, Fredric Blagnon.

Anahitajika mtu kama Donald Ngoma wa Yanga. Mtu msumbufu, mwenye nguvu, asiyeogopa, lakini cha msingi zaidi awe na jicho la kuona lango. Niliandika mitandaoni, Ngoma hajaichezea Yanga katika Ligi tangu Januari, lakini Mavugo hakuweza kufikia mabao yake katika ligi.

Kwa muda mrefu Simba imekosa mshambuliaji tishio huku ikishindwa kufanya vyema katika soko la uhamisho la wachezaji wa kimataifa. Tangu alipoachwa huru Amiss Tambwe na kununua Dan Sserunkuma, Simba haijapata mtu wa uhakika pale mbele.

Katika nafasi ya ulinzi Simba wanahitaji mtu kiongozi, mbabe, mwenye akili ya mpira kama Serge Paschal Wawa. Huyu Method Mwanjali inaonekana umri umesogea na ndiyo maana hata majeraha yake yamechukua muda mrefu.

Hata kama angekuwa fiti, katika mechi za kimataifa Simba tayari ilikuwa inahitaji beki wa nguvu wa kucheza naye sambamba. Juzi James Kotei amecheza vizuri katika nafasi hiyo, lakini nadhani bado anahitajika mlinzi wa nguvu zaidi.

Simba pia wanahitaji kiungo mwingine mwenye mamlaka uwanjani. Kiungo ambaye pia atakuwa kama kiongozi wa eneo hilo. Kuna utoto mwingi katika eneo la kiungo la Simba hasa katika kutengeneza mashambulizi ya haraka haraka.

Anahitajika kiungo wa aina ya Athuman Idd Chuji au Patrick Mafisango. Kiungo mwenye mamlaka dhidi ya wenzake na wachezaji wa timu pinzani.

Anayeweza kucheza pasi ndefu na fupi pale inapolazimu. Anayeweza kubadili uwanjani na kuacha soka la kitoto ambalo baadhi ya viungo wa Simba wanacheza kwa sasa.

Kwa kuanzia Simba wanahitaji kuwa na wanaume watatu wa nguvu katika idara hizo tatu ambazo ni muhimu zaidi. Wakati mwingine timu zetu zinajaza wachezaji bila ya umakini mkubwa. Jaribu kuona utoto ambao Simba waliufanya katika dirisha dogo la uhamisho. Wachezaji waliowachukua walijaza idadi zaidi badala ya kujaza ubora katika kikosi.

Simba wakileta mzaha huu katika mechi za kimataifa hawatafika mbali ingawa ni tamaduni yao kucheza vema katika mechi za aina hiyo.

Maeneo mengine wanaweza kujaza wachezaji mahiri wa nyumbani, lakini hili la mlinzi wa kati, kiungo wa kati na mshambuliaji mahiri wa kati halihitaji mzaha.

Nimejaribu kuangalia wachezaji wetu wengi wazawa katika nafasi hiyo naona bado hawapo tayari. Itazame vizuri Yanga. Ilibadilika zaidi pale walipowachukua Thaban Kamusoko na Ngoma. Mmoja aliibadili timu katika eneo la kiungo mwingine akaibadili katika eneo la ushambuliaji. Tambwe na Obrey Chirwa lilikuwa ongezeko la ubora tu, lakini tayari walishakuwa na msingi wa timu.

Azam ilibadilika zaidi wakati walipowaleta pacha, Kipre Tchetche na Kipre Balou. Mmoja akaibadili safu ya kiungo na mwingine akaibadili safu ya ushambuliaji. Kina John Bocco na Himid Mao walikuwa ongezeko tu la ubora wao. Wameondoka hao wawili timu imeyumba. Simba wasijidanganye kabisa. Timu yao bado ina mapungufu na haipo tayari sana kwa mechi za kimataifa ingawa tayari ina tiketi mkononi. Wasifanye makosa ambayo wameyafanya katika dirisha kubwa lililopita halafu wakayarudia tena katika dirisha dogo.

Hawa wanaume watatu wa kuibadili timu wasiwe wachezaji wa bei rahisi wala wale wa kuja kufanyiwa majaribio. Mchezaji mzuri hafanyiwi majaribio.

Ni kama ambavyo akina Kipre na Ngoma hawakufanyiwa majaribio. Mchezaji mzuri anajulikana na hawezi kukubali kufanyiwa majaribio. Wakishapata wachezaji wa nguvu katika nafasi hizo tatu nadhani tunaweza kukutana Uwanja wa Ndege kwa furaha bila ya wasiwasi. Kwa hali ilivyo sasa, kama wanasumbuliwa na Kagera Sugar, Toto na Mbao basi wasitegemee maajabu katika mechi za kimataifa. Watakuwa wanamaliza nauli tu. Kwa sasa kuna wavulana wengi katika kikosi chao.

Hawawezi kucheza mechi ngumu na hawawezi kubadili matokeo kirahisi.

Hata wakati huu wakiwa wanawania pointi za mezani Fifa kitu cha msingi zaidi kwao ilikuwa kutafakari namna ambavyo pengo la pointi nane baina yao na Yanga lilivyopotea wakati Ligi ikiendelea

Ilitokana na kuwa na wavulana wengi mabishoo ndani ya uwanja ambao, hawakujua kuzicheza mechi ngumu, sasa itakuwaje zile za kimataifa.[/QUOTE]
 
Mtoa mada bado hujataja hasa sababu za kumponda huyu kijana kwa kiwango hiki. Tatizo hasa ni nini? Amekosea nini? Kupenda mpira na siasa? Ulitaka aweje? Una hakika kuwa hajacheza hata chandimu? Kuna mtoto wa Kiswahili aliyekulia kwenye familia za Kitanzania ambaye hajacheza mpira angalau wa makaratasi? Hebu funguka zaidi
 
Heeee heeee Mikia wanamwaga povu haswaaaaa kuanzia yule Manara mpaka mashabiki hawakubali kuitwa wavulana
 
Eddo comedian anajiona amefikir wakat mm iv vitu nirshavifikir toka zaman sana
 
Eddo hajui mpira! Unapowaponda wachezaji na kuwaita WAVULANA, maana yake ni dharau na udhalilishaji kwao. Ndiyo simba inamapungufu makubwa safu ya ushambuliaji,lakini kwangu ndiyo timu bora kwasasa Nchini. Hao Yanga kama si Nguvu ya marefa mwaka huu wasingechukua ubingwa. Alipaswa kuchambua kama mwandishi makini na si kejeli za jinsi hiyo. Hao wavulana tunawategemea sana kwenye timu yetu ya Taifa. Hakupaswa kuwakejeli as if yanga ni bora,wakati tunaona bila mabadiliko mechi za kwanza tu yanga ataaga mashindano.
 
Amna kitu apo ni pumba tu unasemaje young africa imekamilika,wakat kila mashinda shilikisho ya vilabu bigwa africa wanaburuza tu,watz bana tukijiona tujua bac tunajuaga kweli kumbd ugolo tu.
 
Kila siku namuelewa Edo... Hiyo ni kweli tupu..... Wenye akili imewaingia, mambumbumbu wanamwaga povu tu
 
HILI NI JICHO LA MWEWE AU LA KUKU??
_____________

Na:HAJI Manara

Kuna uchokozi flani unaofanywa na baadhi ya watu,haufai kunyamaziwa,hata kama unafanywa na mtu mnayejuana kitambo na mnayeheshimiana.

Nimesoma makala ya Eddo kumwembe mchana huu,nikajiuliza hili ni kweli jicho la Mwewe au sasa limekuwa la kuku?.

Makala yake imejaa dharau na dhihaka kubwa kwa wachezaji wetu wa Simba,iliyojaa kebehi na ilioonyesha dharau kubwa iliopitiliza kwa watu ambao kivyovyote vile hawawezi kumjibu mchambuzi huyu.

Unapowadharau wachezaji hawa waliopigana kwa ajili ya klabu hii ni kutowatendea haki,na tukinyamaza tutakuwa MAJUHA.

Eddo rafiki yangu unapowaita wachezaji wetu ni wavulana na hawawezi kupambana kwenye mechi ngumu,na kuwaita wachezaji wa Yanga wanaume,,ulitumia kigezo kipi?hzi team kwa msimu huu zimekutana mara tatu,niseme wazi,hao wanaume tuliwafunga mara tatu tulizokutana.

Ndio mara zote Tatu!!game ya kwanza,wamshukuru mwamuzi Saanya,kwa kukataa goli letu la halali la MVULANA Ibrahim Ajibu,kisha kukubali goli la hovyo zaidi kufungwa kwa miaka kumi ilipita ktk ligi kuu ya Tanzania,goli la NETBOLI la MWANAMME TAMBWE,,kisha bila sababu yoyote akamtoa MVULANA Jonas Mkude kwa kadi nyekundu,usisahau WAVULANA unaosema hawawezi kupambana ktk mazingira magumu,walisawazisha goli wakiwa pungufu,kwa goli la kona la MVULANA kichuya,aliyetusahaulisha MWANAMME BARTHEZI.

Nikukumbushe pia,kule Zbar kwenye mapinduzi cup,hao.WANAUME tuliwafunga kwa penati,najua wajua WAVULANA waliingia fainali.

Kioja cha hao uliowanasibu ni WANAUME,tuliwadhalilisha feb 25,tukiwa pungufu tena kwa magoli ya kistadi toka kwa WAVULANA Kichuya na Mavugo,sijui unajua goli la Kichuya ndio goli bora msimu huu!!

Hv hapo huoni kuwa umewakosea kulikopitiliza WAVULANA?Nikusaidie mchambuzi wangu,game zote tatu Simba iliongoza kwa umilikaji mpira,hata zile tulizokuwa pungufu uwanjani,,sijui hapo nani MVULANA na nani MWANAMME?

Kwa kuwa ww ni swahiba wangu,nikupe leo kwa faida yako na wasomaji wako,utofauti wa utanashati,uvulana na uliouita UBISHOO, Hawa wachezaji wa zama za leo,ni watanashati hata vwanjani,wanaweka style za nywele na hawanuki jasho la KUPUO,wanatoka jasho la kazi,kisha WAVULANA wa Simba unaowakusudia ww kina Ndemla,Ajibu,Mkude na Tshabalala,hawa hawajatoka MBWINDE,

hawa ni born town,hawawezi kwenda uwanjani na nywele za fashion ya kizamani ya Denge,kama askari wa Mkoloni au Mgambo wa zone, MVULANA Mohd Husein Tshabalala ndio mchezaji bora ktk ligi kuu ya Vodacom na WANAUME hawakuipata tuzo hyo kubwa iliyokuja na mzigo wa BOKSI KUMI, ten M bro!!.

Nikujuze pia hili la kusema Method Mwanjale ni mzee ndio maana kachelewa kupona,,unasahau MVULANA Donald Ngoma nae hajapona hadi leo,kupona inategemea na namna ulivyoumia,ingekuwa kupona ni ujana pekee angepona Marco Van Basten,na asingerudi uwanjani Francesco Toti,mzee aliyestaafu juzi soka.

Hoja ya kuwa Simba iliongoza kwa muda mrefu na kisha Yanga kutwaa ubingwa,Sijui rafiki yangu unakosea wapi!! kwanza Eddo nikuarifu na wasomaji wako, FIFA watarudisha points za Simba pasi na shaka yoyote ile,hakuna namna timu ichezeshe mchezaji mwenye kadi tatu za njano,kisha uinyime hyo timu ushindi,nikujuze pia ktk mpira hilo ni jambo la kawaida sana,Yanga waliwahi kuongoza ligi kwa points kumi na tano,baadae Simba wakaja kuwa mabingwa,huko Ulaya Madrid alikuwa anaongoza ligi kwa points nyingi lakini almanusura aukose ubingwa wa La liga msimu huu,,unakumbuka klabu yako unayoshabikia ya Arsenal tena ikiwa na WANAUME wa ukweli kina Patrick Viera,Sol Campbell ilikuwa ikiongoza ligi kwa points kumi na mbili,lakini mwishoe Mabishoo kina Beckam na klabu ya Manchester united wakachukua ndoo siku ya mwisho wa msimu wa EPL,wakati mwingine soka ipo hvyo, na kwa level na uelewa wako, sikutegemea uandike hoja za washabiki maandazi kama hizo.

Nimekusoma pia ulivyosema kuwa Simba ilipata tabu kwa timu ndogo kama Mbao NK,

hahahahaha,mchambuzi una utani na Gongowazi sio?? Mbao tumekutana nae mara tatu msimu huu na zote tumewafunga, au hujui?WANAUME KAPIGWA GAME MBILI NA MBAO MSIMU HUU, kama umejisahaulisha,habari ndio hyo!!

Hoja ya kuwa Yanga wapo teyari kimataifa kwa takwimu zipi na ulitumia vgezo gan!! bro hao WANAUME uliowapamba wameisaidia sana na watafanya vzuri kimataifa, kwann wasifanye hvyo kwa miaka minne mfululizo walioshiriki michuano ya CAF?sanasana wanaenda kuitia aibu nchi na kuonekana kituko tu huko ughaibuni!!

Bro ungejiuliza swali moja muhimu,,kwa nn mechi nyingi za Yanga,msimu huu na misimu ya hv karibuni imegubikwa na utata wa uamuzi?jiongeze kidogo,nikuibie siri na usimwambie mtu,,kwa msimu huu pekee wa ligi kuu,WAAMUZI ZAID YA SABA wameingia matatani kwenye mechi za Yanga, sasa kule kimataifani hakuna Flora Mbasha bro!

Na hilo pendekezo lako la usajili kwa klabu yetu, limekosa MORAL AUTHORITY ya kusikilizwa,

sababu limejaa na dharau kwa wachezaji wetu waliotupa hyo nafasi ya kushiriki CAF competition mwakani, tutasajili kuzingatia matakwa ya benchi la ufundi, na kamati ya ufundi, hatutasajili kwa preassure ya yoyote yule.

Nimalizie kwa kukuomba urejee kule ulipokuwa awali, kule kwenye jicho la mwewe halisi, achana na jicho la kuku, wapenda soka bado tunahitaji mawazo yako, mawazo huru, yasio na chembe ya kutaka kumfurahisha mtu au kumuumiza yoyote kwa matakwa ya moyo tu.

Na niwie radhi swahiba kwa kukujibu hadharan makala yako, sababu na ww umeileta hadharani, na pia tujizoeshe kuwaheshimu WAVULANA hata kama hupendi virasta vyao, ni rika tu.

Nduguyo....

De la boss
 
Articles za Edo mnazitoa wapi?
natafuta articles zake za miei miwili nyuma sijui wapi pa kuzitafuta
anyone?
 
Edo ananikumbusha mtangazaji mmoja ambaye sasa ni Mbunge kwa jina Juma Nkhamia. Hawa wawili ni mama mmoja baba mmoja katika kujua mpira - wa mdomoni. Ajabu ni kwamba hakuna hata mmoja aliyewahi kucheza hata chandimu. Ila ujuaji wa kila kitu kinachohusu mpira ndio usiseme. Na watu wa aina hii ndio wanaorudisha maendeleo ya mpira katika nchi hii. ujuaji wao (mwengine mjuaji na mtaka sifa ni Maestro wa Clouds FM).

Tena afadhali kidogo Nkhamia kapitia shule ya uandishi na hata kutangaza hadi BBC hivyo kwa upana wa maono ya kielimu na uzoefu na 'exposure' unaweza kumsamehe anapochongo. Ila huyu Edo ana walakini. hata hao wanaompa kibarua (najua hana ajira, ni deiwaka tu) wanafikiria nini kuidharirisha kituo bora kama hicho anachofanyia kazi.

sina matatatizo na huyu edo kwani simjui hanijui na wala akipata ama akikosa mie kwangu haimaanishi chochote. namwanika hapa ili kumpa ujumbe kuwa anachefua watu. Wazungu humwita mtu kama yeye 'Jack of all trades, master of none" yaani "mtu wa fani zote, na si mjuzi wa hata mojawapo". Maana kwenye siasa utamkuta (toka ajue ku-tweet imekuwa shida) na sasa anataka kuchefua watu kwenye soka.

Ukimsoma hapa chini utanielewa

T


JICHO LA MWEWE: Simba inahitaji wanaume watatu wa nguvu
By EDO KUMWEMBE

TUKUTANE uwanja wa ndege. Simba itakuwa inasafiri labda kwenda Rwanda, Yanga itakuwa inasafiri kwenda Misri. Kule kwa Yanga kiasi wametimia, huku kwa Simba kunahitajika wanaume watatu wengine kabla ya kupanda ndege kwenda hiyo safari yao.

Simba inahitaji kuingia sokoni kwa umakini na kununua wachezaji watatu wa kigeni wa maana ambao, kwa hapa nchini sijawaona mpaka sasa. Mgongo wa timu ni mlinzi wa kati kiongozi mwenye uzoefu.

Kisha kiungo mahiri mwenye nguvu na uzoefu, halafu mshambuliaji wa nguvu anayeweza kufunga mabao 20 ya msimu.

Kwa kuanzia katika ushambuliaji Simba wamekwenda kwa John Bocco. Siyo mbaya. Kwa kulinganisha washambuliaji ambao wanao sasa hivi, Bocco ni bora zaidi. Bocco aliye fiti bila ya majeraha ni bora kuliko Laudit Mavugo au shujaa wa juzi, Fredric Blagnon.

Anahitajika mtu kama Donald Ngoma wa Yanga. Mtu msumbufu, mwenye nguvu, asiyeogopa, lakini cha msingi zaidi awe na jicho la kuona lango. Niliandika mitandaoni, Ngoma hajaichezea Yanga katika Ligi tangu Januari, lakini Mavugo hakuweza kufikia mabao yake katika ligi.

Kwa muda mrefu Simba imekosa mshambuliaji tishio huku ikishindwa kufanya vyema katika soko la uhamisho la wachezaji wa kimataifa. Tangu alipoachwa huru Amiss Tambwe na kununua Dan Sserunkuma, Simba haijapata mtu wa uhakika pale mbele.

Katika nafasi ya ulinzi Simba wanahitaji mtu kiongozi, mbabe, mwenye akili ya mpira kama Serge Paschal Wawa. Huyu Method Mwanjali inaonekana umri umesogea na ndiyo maana hata majeraha yake yamechukua muda mrefu.

Hata kama angekuwa fiti, katika mechi za kimataifa Simba tayari ilikuwa inahitaji beki wa nguvu wa kucheza naye sambamba. Juzi James Kotei amecheza vizuri katika nafasi hiyo, lakini nadhani bado anahitajika mlinzi wa nguvu zaidi.

Simba pia wanahitaji kiungo mwingine mwenye mamlaka uwanjani. Kiungo ambaye pia atakuwa kama kiongozi wa eneo hilo. Kuna utoto mwingi katika eneo la kiungo la Simba hasa katika kutengeneza mashambulizi ya haraka haraka.

Anahitajika kiungo wa aina ya Athuman Idd Chuji au Patrick Mafisango. Kiungo mwenye mamlaka dhidi ya wenzake na wachezaji wa timu pinzani.

Anayeweza kucheza pasi ndefu na fupi pale inapolazimu. Anayeweza kubadili uwanjani na kuacha soka la kitoto ambalo baadhi ya viungo wa Simba wanacheza kwa sasa.

Kwa kuanzia Simba wanahitaji kuwa na wanaume watatu wa nguvu katika idara hizo tatu ambazo ni muhimu zaidi. Wakati mwingine timu zetu zinajaza wachezaji bila ya umakini mkubwa. Jaribu kuona utoto ambao Simba waliufanya katika dirisha dogo la uhamisho. Wachezaji waliowachukua walijaza idadi zaidi badala ya kujaza ubora katika kikosi.

Simba wakileta mzaha huu katika mechi za kimataifa hawatafika mbali ingawa ni tamaduni yao kucheza vema katika mechi za aina hiyo.

Maeneo mengine wanaweza kujaza wachezaji mahiri wa nyumbani, lakini hili la mlinzi wa kati, kiungo wa kati na mshambuliaji mahiri wa kati halihitaji mzaha.

Nimejaribu kuangalia wachezaji wetu wengi wazawa katika nafasi hiyo naona bado hawapo tayari. Itazame vizuri Yanga. Ilibadilika zaidi pale walipowachukua Thaban Kamusoko na Ngoma. Mmoja aliibadili timu katika eneo la kiungo mwingine akaibadili katika eneo la ushambuliaji. Tambwe na Obrey Chirwa lilikuwa ongezeko la ubora tu, lakini tayari walishakuwa na msingi wa timu.

Azam ilibadilika zaidi wakati walipowaleta pacha, Kipre Tchetche na Kipre Balou. Mmoja akaibadili safu ya kiungo na mwingine akaibadili safu ya ushambuliaji. Kina John Bocco na Himid Mao walikuwa ongezeko tu la ubora wao. Wameondoka hao wawili timu imeyumba. Simba wasijidanganye kabisa. Timu yao bado ina mapungufu na haipo tayari sana kwa mechi za kimataifa ingawa tayari ina tiketi mkononi. Wasifanye makosa ambayo wameyafanya katika dirisha kubwa lililopita halafu wakayarudia tena katika dirisha dogo.

Hawa wanaume watatu wa kuibadili timu wasiwe wachezaji wa bei rahisi wala wale wa kuja kufanyiwa majaribio. Mchezaji mzuri hafanyiwi majaribio.

Ni kama ambavyo akina Kipre na Ngoma hawakufanyiwa majaribio. Mchezaji mzuri anajulikana na hawezi kukubali kufanyiwa majaribio. Wakishapata wachezaji wa nguvu katika nafasi hizo tatu nadhani tunaweza kukutana Uwanja wa Ndege kwa furaha bila ya wasiwasi. Kwa hali ilivyo sasa, kama wanasumbuliwa na Kagera Sugar, Toto na Mbao basi wasitegemee maajabu katika mechi za kimataifa. Watakuwa wanamaliza nauli tu. Kwa sasa kuna wavulana wengi katika kikosi chao.

Hawawezi kucheza mechi ngumu na hawawezi kubadili matokeo kirahisi.

Hata wakati huu wakiwa wanawania pointi za mezani Fifa kitu cha msingi zaidi kwao ilikuwa kutafakari namna ambavyo pengo la pointi nane baina yao na Yanga lilivyopotea wakati Ligi ikiendelea

Ilitokana na kuwa na wavulana wengi mabishoo ndani ya uwanja ambao, hawakujua kuzicheza mechi ngumu, sasa itakuwaje zile za kimataifa.
[/QUOTE]
Nilichogundua wewe n haji manara
Eddo kumwembe anajitahidi Sana kwa soka letu hapa Tanzania japo kuna mambo anakosea Kama binadamu.
Kwa hapa bongo ukimtoa mwalimu kashasha na Dkt liki nadhani anayefuata n eddo.
Hao wwngine unaowasikia n wasimuliaji tu matukio yanayotokea uwanjani hakuna wachambuzi wa mpira(clouds &efm)
 
Back
Top Bottom