AnaitwaGONGO wazi fc.. Kwann hamshughuliki na yenu? Huoni Kama kutwaa UBINGWA African cup of nation ni CV kubwa sn? kwani Huyo kocha wenu MWANAMWALI,,,, sorry typing error... Lwandamila Ana CV gn nzr zaidi ya Huyo wa simba? Ukiuliza wanakwambiya bingwa wa kuwafunga WAARABU
Kama hujui kwanini Cameron waliachana nae pamoja na porojo nyingi za kumsifia hapa kwetu google. Kuna mtu alisema Omog is a perfect coach sasa amepiga U- turn anaimba chollas ya Patrick mfaransa. Haijulikkani nani anataka nini liniGONGO wazi fc.. Kwann hamshughuliki na yenu? Huoni Kama kutwaa UBINGWA African cup of nation ni CV kubwa sn? kwani Huyo kocha wenu MWANAMWALI,,,, sorry typing error... Lwandamila Ana CV gn nzr zaidi ya Huyo wa simba? Ukiuliza wanakwambiya bingwa wa kuwafunga WAARABU
Kwahiyo makocha wote waliotwaa makombe ya dunia waliendelea na timu zao mpaka kifo kilipowatenganisha?Panoja na CV yake nzuri ya kuiwezesha timu ya Cameron kuchukua ubingwa mataifa ya Africa kwanini Cameron hawakuendelea nae hadi wachukue kombe la dunia? Tusiongeze chumvi nyingi kwenye maharage yasiyoiva.
Nimecheka sana hadi mtaa wa pili wamesikia,umetisha brooAnaitwa
Lwandamina, na sio Lwandamila.
Zingatia mwisho wa jina ni amina na sio amila.
Astaghafirulilah!Anaitwa
Lwandamina, na sio Lwandamila.
Zingatia mwisho wa jina ni amina na sio amila.
Good answer broo,mwambie afuatilie scolary alipochukua ubingwa wa dunia 2002 aliendelea na Brazil?Kwahiyo makocha wote waliotwaa makombe ya dunia waliendelea na timu zao mpaka kifo kilipowatenganisha?
Nonsense!
Aliachana na Cameroon ili aende kuoa.Tukumbushe wana jamvi kwanini aliachana na timu ya Cameroon pamoja na mafanikio aliyoipa Cameron, usitukane.
Hawa watoto wa siku hizi wana muda wa kufuatilia basi? Ntapoteza muda wangu tu bure...Good answer broo,mwambie afuatilie scolary alipochukua ubingwa wa dunia 2002 aliendelea na Brazil?
Nilijuwa utanipa CV yake,,, kumbe umekuja kurekebisha jina? sawa mkuuAnaitwa
Lwandamina, na sio Lwandamila.
Zingatia mwisho wa jina ni amina na sio amila.
Tukumbushe wana jamvi kwanini aliachana na timu ya Cameroon pamoja na mafanikio aliyoipa Cameron, usitukane.
Coaches are hired to be fired.Panoja na CV yake nzuri ya kuiwezesha timu ya Cameron kuchukua ubingwa mataifa ya Africa kwanini Cameron hawakuendelea nae hadi wachukue kombe la dunia? Tusiongeze chumvi nyingi kwenye maharage yasiyoiva.
That's football bandugu.Ni
Kama hujui kwanini Cameron waliachana nae pamoja na porojo nyingi za kumsifia hapa kwetu google. Kuna mtu alisema Omog is a perfect coach sasa amepiga U- turn anaimba chollas ya Patrick mfaransa. Haijulikkani nani anataka nini lini