kukumsela
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 721
- 907
Wakuu naomba kuuliza
Kocha mkuu wa klabu ya soka ya Simba raia wa Brazili Roberitinho almarufu mzee wa Sambaroketo kushangalia kupata sare pindi timu yake iliposhuka dimbani kucheza na timu ya Azam katika Uwanja wa Lupaso jijini Dar -es-salaam ambapo timu hizo zilitoka sare ya 1-1 huku timu yake ikiwa nafasi ya pili katika msimamo wa Npl nyuma ya timu ya Yanga kwa tofauti ya point 5 ambapo timu ya Yanga inamchezo mmoja mkononi
Naomba kuwasisha tafadhali
Kocha mkuu wa klabu ya soka ya Simba raia wa Brazili Roberitinho almarufu mzee wa Sambaroketo kushangalia kupata sare pindi timu yake iliposhuka dimbani kucheza na timu ya Azam katika Uwanja wa Lupaso jijini Dar -es-salaam ambapo timu hizo zilitoka sare ya 1-1 huku timu yake ikiwa nafasi ya pili katika msimamo wa Npl nyuma ya timu ya Yanga kwa tofauti ya point 5 ambapo timu ya Yanga inamchezo mmoja mkononi
Naomba kuwasisha tafadhali