Kocha Benchikha ana kitu Kama asipoingiliwa kwenye majukumu yake Basi tutegemee makubwa katika Simba SC

Ww Yanga ila una akili mnoo...kongole kwako..kwny ukweli unasema ukweli..
Benchika for changes...
Hakuna cha benchika wala benshika. Hawa thimba wakikutana na yanga lazima tuwakande na mfukuze kocha. Kocha wa thimba atakuwa anafukuzwa na yanga.
 
Kilichoongezeka ni hali ya upambanaji kwa wachezaji kutokana na kutaka kumshawishi kocha wapate namba, angalia mpira uliochezwa kati ya Simba na Al Ahly kwenye AFL, ili ujue wachezaji wa Simba wakiamua kujitoa kupambana ni mpira wa aina gani unachezeka.
JAMAA ANA KITU.
 
Simba huwa mna ujinga wakusifia vitu vya hovyooo!!, Yaani mechi mbili zisizo na matoke chanya unamsifia kocha aliyeiacha USM Algers nafasi ya 10 huko?. Kilichotokea hapo ni spirit ya upambanaji ww wachezaji ili wapate namba... Subiri mechi 10 zake njoo hapa umsifie.
HIVI MPIRA HUWA UNAANGALIA??
 
Simba huwa mna ujinga wakusifia vitu vya hovyooo!!, Yaani mechi mbili zisizo na matoke chanya unamsifia kocha aliyeiacha USM Algers nafasi ya 10 huko?. Kilichotokea hapo ni spirit ya upambanaji ww wachezaji ili wapate namba... Subiri mechi 10 zake njoo hapa umsifie.
Hivi huu mchezo unaufahamu vizuri au wewe unachojua ni kushabikia gongowazi tu? Hivi akili hizi mnazitoa wapi?
 
Simba huwa mna ujinga wakusifia vitu vya hovyooo!!, Yaani mechi mbili zisizo na matoke chanya unamsifia kocha aliyeiacha USM Algers nafasi ya 10 huko?. Kilichotokea hapo ni spirit ya upambanaji ww wachezaji ili wapate namba... Subiri mechi 10 zake njoo hapa umsifie.

Acha uchawi wewe kijana!!!! Hivi icho unachosema kwa roberitnho hakikuwepo kwa wachezaji? Sio tunasafia jamaa anaonekana na benchi lake wapo vizuri

Nyie mbona mnamsifia gamond na club bingwa unapigwa kila siku?
 
naungana na wewe haya nami nimeyaona

Kibu d ,anapiga pasi kwenda mbele na anaweza acha mpira upite umkute onana afunge (kitu kipya)

Goli lapili la onana nimekumbuka goli fainali kombe la dunia brazil na ujerumani

Rivaldo anaruka anaacha pasi ipite ronaldo afunge

Nimeshangaa mzamiru ,naye anapiga pasi ziende mbele na za uhakika kitu kipya pia
 
naungana na wewe haya nami nimeyaona

Kibu d ,anapiga pasi kwenda mbele na anaweza acha mpira upite umkute onana afunge (kitu kipya)

Goli lapili la onana nimekumbuka goli fainali kombe la dunia brazil na ujerumani

Rivaldo anaruka anaacha pasi ipite ronaldo afunge

Nimeshangaa mzamiru ,naye anapiga pasi ziende mbele na za uhakika kitu kipya pia
NGOJA TUONE BENCHIKA ANA KITU GANI
 
Back
Top Bottom