ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 20,215
- 29,422
Hakuna cha benchika wala benshika. Hawa thimba wakikutana na yanga lazima tuwakande na mfukuze kocha. Kocha wa thimba atakuwa anafukuzwa na yanga.Ww Yanga ila una akili mnoo...kongole kwako..kwny ukweli unasema ukweli..
Benchika for changes...