OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,674
- 120,350
Ukifukunyua sana utajiridhisha kuwa hata wateule wa Magufuli ni majipu.Ajabu wateule wa mkuu hawaguswi.Labda serikali ya Magufuli ina "materiality" katika majipu,tupeni hiyo materiality tuijue.
Kuna huyu Alan Kijazi Mkurugenzi wa TANAPA ambae ni Ndugu wa Katibu Mkuu Kiongozi.Katika repoti ya CAG ametajwa kujilipa zaidi milioni 19.48 kama posho ya nyumba.
Waraka wa TANAPA unataka alipwe laki 6 kwa mwezi.Lakini alijilipa milioni 2.26 kwa mwezi hivyo kusababisha kujilipa zaidi milioni 19.48.
Hapo vipi Magufuli,hakuna double standard hapo
Kuna huyu Alan Kijazi Mkurugenzi wa TANAPA ambae ni Ndugu wa Katibu Mkuu Kiongozi.Katika repoti ya CAG ametajwa kujilipa zaidi milioni 19.48 kama posho ya nyumba.
Waraka wa TANAPA unataka alipwe laki 6 kwa mwezi.Lakini alijilipa milioni 2.26 kwa mwezi hivyo kusababisha kujilipa zaidi milioni 19.48.
Hapo vipi Magufuli,hakuna double standard hapo