DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Klabu ya Young Africans ya Tanzania imetangaza kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Romain Folz.
Katika taarifa yake ya leo Oktoba 18, 2025, mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu ya NBC, wametangaza kuachana na Folz huku nafasi yake ikichukuliwa na kocha msaidizi Patrick Mabedi.
Uamuzi huo unakuja saa chache baada ya Young Africans kufungwa bao 1-0 na Silver Strikers ya Malawi katika mchezo wa raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, uliofanyika leo Oktoba 18 katika uwanja wa Bingu jijini Lilongwe.
Soma Pia: FT: Silver Strikers 1-0 Yanga SC | CAF CL | Second preliminary round Leg 1 of 2 | Bingu National Stadium| 18.10.2025 | Saa 10:00 Jioni
Katika taarifa yake ya leo Oktoba 18, 2025, mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu ya NBC, wametangaza kuachana na Folz huku nafasi yake ikichukuliwa na kocha msaidizi Patrick Mabedi.
Uamuzi huo unakuja saa chache baada ya Young Africans kufungwa bao 1-0 na Silver Strikers ya Malawi katika mchezo wa raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, uliofanyika leo Oktoba 18 katika uwanja wa Bingu jijini Lilongwe.