mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Wakuu!
Sina uhakika kama wazo langu hili ni jipya!-ila ninadhani kitu hiki kinaweza kuwepo tayari.Ningependa kujua hapa Dar es Salaam,au hata waliopo mikoani kama kuna Clubs za wasoma vitabu;ambapo badae upata muda wa kushirikishana kile kilichosomwa na kupanua nijadala yenye afya.Mwenye kujua anielekeze ni wapi na utaratibu wa kujiunga ukoje.Kama hamna nilikuwa na mpango wa kuanzisha kitu hiki,ambacho nina imani kitaweza kutusaidia walio wengi kuleta mabadiliko chanya kwa kizazi chetu.
Ahsante
Sina uhakika kama wazo langu hili ni jipya!-ila ninadhani kitu hiki kinaweza kuwepo tayari.Ningependa kujua hapa Dar es Salaam,au hata waliopo mikoani kama kuna Clubs za wasoma vitabu;ambapo badae upata muda wa kushirikishana kile kilichosomwa na kupanua nijadala yenye afya.Mwenye kujua anielekeze ni wapi na utaratibu wa kujiunga ukoje.Kama hamna nilikuwa na mpango wa kuanzisha kitu hiki,ambacho nina imani kitaweza kutusaidia walio wengi kuleta mabadiliko chanya kwa kizazi chetu.
Ahsante