Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Data gani nilizodanganya,Mikia kupigwa goals 13?Mazembe 2 Constantine 0
Costantine 3 Mazembe 0
Mkuu uwe unaweka data zako vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mikia ni kama Dr Shika anaesubiri hela kutoka Russia na ndio akili za Mikia wanaojipa matumaini ya kumfunga na kumtoa Mazembe.Yanga hii nguvu mngetumia dhidi ya Lipuli wana paluhengo pale Samora
Leo mngekuwa na points 3 muhimu
Yanga Kama prof Lipumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu umemfanya Binti wa watu Cutelove akimbie kabisa huu Uzi,dah..Sina ugomvi binafsi mkuu ila nimesema ukweli. 95% ya wanawake wa humu kwa kujiita majina mazuri mazuri na kuweka picha za wanawake wenzao wenye maumbile mazuri hawajambo ila kutana nae sasa, unaweza kulia, shapeless kabisa.
Binti Wanjiku naona umerudi baada ya likizo ya uzazi.Na Mikia ni kama Dr Shika anaesubiri hela kutoka Russia na ndio akili za Mikia wanaojipa matumaini ya kumfunga na kumtoa Mazembe.
Sent using Jamii Forums mobile app
TP Mazembe mbona mboga tu hiyo, watakaa mapeeema, shaka ondoa Shadeeya
Usiogope ukubwa wa pua...
Huyu mshambuliaji wao hatari Tresor Mputu inatakiwa kumfahamu mapema. Jamaa kimuonekano anabadilikabadilika kama kinyonga. Kuna wakati huwa mweupe kama mzungu na kuna wakati huwa mweusi.Simba imepangwa na TP Mazembe ya DR Congo kwenye mechi ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye droo iliyochezeshwa mjini Cairo
View attachment 1050159
Mamelodi Sundowns wakikutana na Al Ahly, Horoya AC vs Wydad AC na Esperance vs Constantine
Simba itaanzia nyumbani kutokana mfumo wa michuano hiyo kwa kuwa walimaliza wakiwa nafasi ya pili katika Kundi D.
View attachment 1050158
Simba ilimaliza kundi D katika nafasi ya pili na ikajulikana mapema Kuwa ina nafasi ya kukutana na kati ya timu tatu zilizokuwa vinara wa makundi ambazo ni Waydad Casablanca, TP Mazembe au mabingwa watetezi, Esperance.
=====
Droo ndio hiyo wenzangu wa Simba nafasi yetu ipoje?
Kwani vita mlisemaje?Na Mikia ni kama Dr Shika anaesubiri hela kutoka Russia na ndio akili za Mikia wanaojipa matumaini ya kumfunga na kumtoa Mazembe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi ya Kwanza
Simba 2 mazembe 1
Mechi ya 2 kule Congo
Mazembe 4 Simba 0
Sent using Jamii Forums mobile app
Braza sevu comment yangu lazima tufuzu. Tp kafuzu na point 11 out of 18 alituacha point mbili alafu na kumbuka kundi lake alikuwa na vijitimu vidogo ukilinganisha na kundi letu Ambayo lilikuwa kama li kifo na kumbuka tumezifunga timu zilizoshiriki fainal mwaka jana
lakini nakumbuka mwaka 2011 kama sijakosea simba ilicheza na mazembe tp japo nimesahau matokeo nakumbuka ndo kisa cha samata kufika genk kupitia mazembe kutoka simba wakuu mwenye details atukumbushe,
Shadeeya
@100likes
Joseverest
WOIII SEMA SANA, NYIE PIGWENI MJE MMALIZIE KIPORO CHENU HUKUNaona mmefufuka...baada ya kipigo cha lipuli na sisi baada ya kupiga ile mibasha yenu ya congo mlipotea..sahivi naona mmefufuka tena...nyie watu sijui mnaishije😂😂😂😂..mmekuwa malaya wa kuzishabikia timu za wenzenu..mara leo congo kesho waarabu huku timu lenu linakojolewa na kina lipuli😂
Tukipigwa kwenye hatua ambayo tangu unazaliwa hadi leo hujawahi iona yanga ikifika iyo hatua we hayakuhusu...we yanayokuhusu ni haya ya kupumuliwa na kina lipuli...mwaka huu kuna watu lazima mmepata vidonda vya tumboWOIII SEMA SANA, NYIE PIGWENI MJE MMALIZIE KIPORO CHENU HUKU