mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,251
Exactly I like your comment.Yanga hawana tofauti na wazee wa lumumba,kwa wengine wakifanya ni kosa Ila wao wakifanya ni sawa
Mkuu, mpaka leo hujafahamu kuwa Yanga inauongozi aina mbili? Ule wa Manji na mwengine TFF. Sio rahisi.Jana Serikali imetangaza kutoiilipisha Klabu ya Yanga gharama za uharibifu uliofanywa Na mashabiki wa Klabu hiyo katika mchezo wao na Klabu ya TP Mazembe.Kitendo hicho kinashangaza kwani kinaweza kuvifanya vilabu visiwaelimishe mashabiki wao kutokufanya Fujo Na kuharibu Mali za umma.
Pia kitendo hicho kinashangaza kwani Klabu ya Simba mashabiki wake walifanya fujo Na kuvunja baadhi ya viti na Serikali iliwakata Klabu ya Simba makato kutoka kwenye fedha zilizopatikana kwenye mchezo wao iweje Klabu ya Yanga izilipe nayo huo uharibifu?
Yawezekana huo uwanja ni wa Yanga!Jana Serikali imetangaza kutoiilipisha Klabu ya Yanga gharama za uharibifu uliofanywa Na mashabiki wa Klabu hiyo katika mchezo wao na Klabu ya TP Mazembe.Kitendo hicho kinashangaza kwani kinaweza kuvifanya vilabu visiwaelimishe mashabiki wao kutokufanya Fujo Na kuharibu Mali za umma.
Pia kitendo hicho kinashangaza kwani Klabu ya Simba mashabiki wake walifanya fujo Na kuvunja baadhi ya viti na Serikali iliwakata Klabu ya Simba makato kutoka kwenye fedha zilizopatikana kwenye mchezo wao iweje Klabu ya Yanga izilipe nayo huo uharibifu?
Sio rais tu mkuu, takriban viongozi wote wamepitia Yanga.Rais wa TFF ndio alikuwa Rais wa Yanga, Swali la nyongeza?
Hayo ni madogo kuna mengi nyuma ya panziaSio rais tu mkuu, takriban viongozi wote wamepitia Yanga.
Mkuu Lumumba hawalitendei haki hilo jina kabisaYanga hawana tofauti na wazee wa lumumba,kwa wengine wakifanya ni kosa Ila wao wakifanya ni sawa
Kama TFF ilifanya figisu na kuipa ubingwa Yanga watashindwaje kuwasamehe jambo dogo kama hilo....
Kaa kimya, wivu wa nini? Wanaingiza mapato kiasi gani kupitia club hii kongwe? Kumbuka ligi imeshamalizika lakini wanaendelea kuvuna mshiko kupitia Yanga, Mbumbumbu FC hamulioni hilo?Jana Serikali imetangaza kutoiilipisha Klabu ya Yanga gharama za uharibifu uliofanywa Na mashabiki wa Klabu hiyo katika mchezo wao na Klabu ya TP Mazembe.Kitendo hicho kinashangaza kwani kinaweza kuvifanya vilabu visiwaelimishe mashabiki wao kutokufanya Fujo Na kuharibu Mali za umma.
Pia kitendo hicho kinashangaza kwani Klabu ya Simba mashabiki wake walifanya fujo Na kuvunja baadhi ya viti na Serikali iliwakata Klabu ya Simba makato kutoka kwenye fedha zilizopatikana kwenye mchezo wao iweje Klabu ya Yanga izilipe nayo huo uharibifu?
Yanga ni wa kimataifa , usiwafananishe na wamatopeni simba.Jana Serikali imetangaza kutoiilipisha Klabu ya Yanga gharama za uharibifu uliofanywa Na mashabiki wa Klabu hiyo katika mchezo wao na Klabu ya TP Mazembe.Kitendo hicho kinashangaza kwani kinaweza kuvifanya vilabu visiwaelimishe mashabiki wao kutokufanya Fujo Na kuharibu Mali za umma.
Pia kitendo hicho kinashangaza kwani Klabu ya Simba mashabiki wake walifanya fujo Na kuvunja baadhi ya viti na Serikali iliwakata Klabu ya Simba makato kutoka kwenye fedha zilizopatikana kwenye mchezo wao iweje Klabu ya Yanga izilipe nayo huo uharibifu?
Hata adhabu TFF wanayoiombea Yanga siyo rahisi kama wanavyodhani, uwanjani kulikuwa shwari. Algeria na hata Misri jinsi Yanga ilivyokuwa inafanyiwa fujo na hata michezo kusimamishwa kwa dakika kadhaa mbona timu hazikupewa adhabu?Ndani ya uwanja inajulikana mashabiki wanavyokaa. Kila timu ina sehemu yake.
Mechi ya juzi uharibifu ulikuwa nje ya uwanja kwenye fence.
Hapo utamjua shabiki ni timu ipi? Hata wasiokuwa wana Jangwani walivaa jezi za Yanga ili waingie uwanjani. Wamesema wazi kwenye vituo vya habari.
Nadhani busara imetumika.
Yanga imesamehewa na Uongozi wa Uwanja wa Taifa sio TFF.
Kwa sasa mahusiano ya Yanga na TFF ni mabaya sana baada ya Mh.Yussuf Mehboob Manji kuharibu dili lao la kuuza tiket feki za viongozi siku ya Mechi ya TP Mazembe ndio maana Malinzi akakurupuka Eti Yanga ilipe VAT ya mchezo huo lakin TRA ikawashushua kuwa hakuna kitu kama hicho kwa kuwa hapakuwa na Mapato/mauzo sasa hapo base ya VAT inatoka wapi.
Malinzi akahamia kwny gharama za uharibifu lengo likiwa ni kuikomoa Yanga nako akagonga mwamba akaambiwa wamesamehewa.
Akamalizia hasira kwa kumuandikia barua Jerry Muro ya kuitwa kujieleza
Nako kagonga Mwamba kwa kuwa barua ilishindwa kujieleza anaitwa kwny kamati gani. Malinzi kachanganyikiwa hatareee.
Kete aliyobaki nayo ni kuichongea Yanga huko CAF japo nako wanashangaa Yanga kuchongewa na Taasisi iliyopaswa kuitetea kwa kuwa ndio Mlezi.
TFF ni kutalu cha upigaji wa fedha za Milangoni, Kamishna Valentino Mlowola atupiamo kajicho