Klabu ya Real Betis na mpango wa kimaendeleo

bakundande jr

JF-Expert Member
Oct 22, 2021
507
670
Real betis ni miongoni mwa klabu kongwr zinazoshiriki ligi kuu nchini Spain maarufu kama La liga.
Kwa njia ya kipekee kabisa ili kuleta mabadiliko katika historia ya klabu hio hususani katika suala la uwanja wao wa mpira, klabu hii ilamaua kuanzisha shindano lililohusisha watu wengi duniani.

Lengo la shindano hili ni kupata ubunifu wa uwanja wa mpira ambao utakuwa bora zaidi na wa kisasa zaidi kuliko uwanja wa sasa wa Real Betis. Uwanja huo utakuwa na uwezo wa kuchukua idadi kubwa ya mashabiki, na utakuwa na vifaa vya kisasa zaidi vya teknolojia.

Pia klabu hiyo ilitangaza ya kuwa washindi wa shindano hilo watapata zawadi ya pesa pamoja na fursa ya kufanya kazi na Real betis.

Klabu hiyo ilitangaza kuwa tarehe 31 desemba 2020 kuwa ndio mwisho wa kupokea michoro kutoka kwa wabunifu.

Baada ya michoro mingi kupita bodi ya watendaji wa klabu hiyo ilikaa na kupitia mchoro mmoja baada ya mwingine na hatimae kuchagua mchoro ulionekqna kuvutia zaidi. Katika mchoro huo unaoneshq ya kuwa uwanja huo utakuwa na uwezo wa kuingiza watazamaji 60379 ikiwa ni karibu mara nne zaidi ya uwanja wao wa awali unaoingiza watazamaji 15000+.

Cha muhimu kutoka katika shindano na hadithi hii ni kuwa klabu zetu kuongwe na penda hapa nchi, nazungumzia mapacha toka kariakoo yaani wekundu wa msimbazi (simba) na ndugu zao wananchi (yanga) zinaweza kujifunza kitu sio tu kuazisha program za kuchangia pesa hata katika maswala ya ubunifu zinaweza kushirikisha mashabiki na wanachama wake.

Hii inaweza kuongeza mapato na mapenzi kwa vilabu hivi.

Pichani hapo chini ni mchoro wa uwanja uliochaguliwa kutoka katika shindano hilo.

Na bakundande jr
Naomba kuwasilisha
FB_IMG_1694617519995.jpg
 
Hata mimi niliwahi kuwa na mawazo mfanano na yako.

Mimi niliangazia kwenye ishu ya jezi.

Nikasema kwanini kama Club isitoe challenge kwa watu wanao design maswala ya graphics ili wapate jezi ambayo itakuwa ni nzuri itayovutiwa na mashabiki wengi?

Hii itaongeza creativity kwa watu, watajua ni fursa hivyo watakuwa wakifanya kwa weledi wakijua kuna ushindani na kizuri ndio kitachokuwa kimekubalika.

Kipindi cha uzinduzi wa jezi kunakuwaga na tetesi nyingi huku baadhi ya watu wa graphics wamekuwa wakitoa idea zao kwenye jezi, ambazo mara nyingi idea za ubunifu wa jezi zao zimekuwa ni nzuri kuliko jezi official ya Club.

Nilipendekeza kuwa

Club inafanya mchujo kupata washindi watatu wale ambao wametoa designing kali.

Mshindi wa kwanza jezi yake kali lazima iwe ya home kit

Mshindi wa pili ni away kit

Mshindi wa tatu ni third kit

Kisha utatengenezwa utaratibu wa zawadi ya pesa taslimu kwa washindi hao ili kutengeneza hamasa zaidi.

Kwangu mimi hili swala la jezi kubuniwa na mtu mmoja halafu mtu huyo huyo ndio anayeenda kuidhinisha na kuitoa rasmi naona haijakaa vizuri.
 
Tanzania ubongo sio kitu ambacho huwa kinatumika sana kwenye maamuzi na kuendesha Taasisi karibu zote, mazoea na uchawi na kujuana ndo vitu vinafanya kazi
 
Hata mimi niliwahi kuwa na mawazo mfanano na yako.

Mimi niliangazia kwenye ishu ya jezi.

Nikasema kwanini kama Club isitoe challenge kwa watu wanao design maswala ya graphics ili wapate jezi ambayo itakuwa ni nzuri itayovutiwa na mashabiki wengi?

Hii itaongeza creativity kwa watu, watajua ni fursa hivyo watakuwa wakifanya kwa weledi wakijua kuna ushindani na kizuri ndio kitachokuwa kimekubalika.

Kipindi cha uzinduzi wa jezi kunakuwaga na tetesi nyingi huku baadhi ya watu wa graphics wamekuwa wakitoa idea zao kwenye jezi, ambazo mara nyingi idea za ubunifu wa jezi zao zimekuwa ni nzuri kuliko jezi official ya Club.

Nilipendekeza kuwa

Club inafanya mchujo kupata washindi watatu wale ambao wametoa designing kali.

Mshindi wa kwanza jezi yake kali lazima iwe ya home kit

Mshindi wa pili ni away kit

Mshindi wa tatu ni third kit

Kisha utatengenezwa utaratibu wa zawadi ya pesa taslimu kwa washindi hao ili kutengeneza hamasa zaidi.

Kwangu mimi hili swala la jezi kubuniwa na mtu mmoja halafu mtu huyo huyo ndio anayeenda kuidhinisha na kuitoa rasmi naona haijakaa vizuri.
Kama zile za yang mwaka jana mtu kajaza majengo kwenye jezi afu analeta ufafanuzi yaani badala yakuwa jezi yampira ikageuka wizara ya utalii
 
Hata mimi niliwahi kuwa na mawazo mfanano na yako.

Mimi niliangazia kwenye ishu ya jezi.

Nikasema kwanini kama Club isitoe challenge kwa watu wanao design maswala ya graphics ili wapate jezi ambayo itakuwa ni nzuri itayovutiwa na mashabiki wengi?

Hii itaongeza creativity kwa watu, watajua ni fursa hivyo watakuwa wakifanya kwa weledi wakijua kuna ushindani na kizuri ndio kitachokuwa kimekubalika.

Kipindi cha uzinduzi wa jezi kunakuwaga na tetesi nyingi huku baadhi ya watu wa graphics wamekuwa wakitoa idea zao kwenye jezi, ambazo mara nyingi idea za ubunifu wa jezi zao zimekuwa ni nzuri kuliko jezi official ya Club.

Nilipendekeza kuwa

Club inafanya mchujo kupata washindi watatu wale ambao wametoa designing kali.

Mshindi wa kwanza jezi yake kali lazima iwe ya home kit

Mshindi wa pili ni away kit

Mshindi wa tatu ni third kit

Kisha utatengenezwa utaratibu wa zawadi ya pesa taslimu kwa washindi hao ili kutengeneza hamasa zaidi.

Kwangu mimi hili swala la jezi kubuniwa na mtu mmoja halafu mtu huyo huyo ndio anayeenda kuidhinisha na kuitoa rasmi naona haijakaa vizuri.
Kwa sualq la jezi inabismdi hata baada ya misinu miwili au mitatu kunakuwa na shindano hilo ili kuongeza ushiriki wa mashanmbiki katika shughuli mbalimbali za timu.
 
Kama zile za yang mwaka jana mtu kajaza majengo kwenye jezi afu analeta ufafanuzi yaani badala yakuwa jezi yampira ikageuka wizara ya utalii
Ni ujinga tu

Pengine angeweka challenge ya kufuata vigezo vya kuweka hayo majengo, watu wangeweka kiustadi na kuifanya jezi ipendeze zaidi kuliko alivyofanya yeye.

Hizi timu zina mashabiki wengi, ukiweka challenge kutafuta design nzuri ya jezi, utapata watu wengi waliotoa kitu kizuri tena wengine utaweza kuwaweka kando na ukaamua idea zao uzitumie misimu ijayo.
 
Tanzania ubongo sio kitu ambacho huwa kinatumika sana kwenye maamuzi na kuendesha Taasisi karibu zote, mazoea na uchawi na kujuana ndo vitu vinafanya kazi
Imani kama hizi ndio zunafanya tusisonge mbele.

Haijalishi uchawi upo ama la, imani tu ni tatizo kubwa sana
 
Ni ujinga tu

Pengine angeweka challenge ya kufuata vigezo vya kuweka hayo majengo, watu wangeweka kiustadi na kuifanya jezi ipendeze zaidi kuliko alivyofanya yeye.

Hizi timu zina mashabiki wengi, ukiweka challenge kutafuta design nzuri ya jezi, utapata watu wengi waliotoa kitu kizuri tena wengine utaweza kuwaweka kando na ukaamua idea zao uzitumie misimu ijayo.
Challenge zilizopo ni za kujaza mabasi tu, na sio katika masuala ya kiamendeleo
 
Ni ujinga tu

Pengine angeweka challenge ya kufuata vigezo vya kuweka hayo majengo, watu wangeweka kiustadi na kuifanya jezi ipendeze zaidi kuliko alivyofanya yeye.

Hizi timu zina mashabiki wengi, ukiweka challenge kutafuta design nzuri ya jezi, utapata watu wengi waliotoa kitu kizuri tena wengine utaweza kuwaweka kando na ukaamua idea zao uzitumie misimu ijayo.
Jezi zinazopostiwa zinakuwa kali akija mwenye jukumu lakibuni hola wawape watu challenge afu wachague yupi katoa kali basi,,,,,au yeye mwenye ilo jukumu analiendesha kwasiri ata kwa watu wabunifu hata Mia,,, ,,mfano sijawai ona arsenal wakitolea ufafanuzi jezi zao au Madrid na kila mwaka zinakuwa kali,,,,sasa sis apa mtu kwa ubinafsi wake anapuyanga afu anaanza kutolea ufafanuzi mara ooo iki oooh,,,,,
 
Jezi zinazopostiwa zinakuwa kali akija mwenye jukumu lakibuni hola wawape watu challenge afu wachague yupi katoa kali basi,,,,,au yeye mwenye ilo jukumu analiendesha kwasiri ata kwa watu wabunifu hata Mia,,, ,,mfano sijawai ona arsenal wakitolea ufafanuzi jezi zao au Madrid na kila mwaka zinakuwa kali,,,,sasa sis apa mtu kwa ubinafsi wake anapuyanga afu anaanza kutolea ufafanuzi mara ooo iki oooh,,,,,
Hili swala la kuifanya jezi kama museum ndio sijalielewa.

Yani Club inatuandalia documentary ya wakati huo huo mtaani tuna jezi ambayo nayo imeelezea historia.

Yani sijui sielewi peke yangu au namna gani?
 
Hili swala la kuifanya jezi kama museum ndio sijalielewa.

Yani Club inatuandalia documentary ya wakati huo huo mtaani tuna jezi ambayo nayo imeelezea historia.

Yani sijui sielewi peke yangu au namna gani?
Bado tunahitaji nguvu ya ziada kwenye kung'amua mambo
 
Hili swala la kuifanya jezi kama museum ndio sijalielewa.

Yani Club inatuandalia documentary ya wakati huo huo mtaani tuna jezi ambayo nayo imeelezea historia.

Yani sijui sielewi peke yangu au namna gani?
Bado tunahitaji nguvu ya ziada kwenye kung'amua mambo
 
Hili swala la kuifanya jezi kama museum ndio sijalielewa.

Yani Club inatuandalia documentary ya wakati huo huo mtaani tuna jezi ambayo nayo imeelezea historia.

Yani sijui sielewi peke yangu au namna gani?
Mimi sikuelewa kabisa ila huwezi ata toa mchango make utavamiwa na wale wakujiita wafia timu kwo tunabaki,,,,yaani haiwezekani jezi nzuri kama ile ya man u uanze kuitolea maelezo kibao yanini,,, toa jezi kali afu weka dukani uone kama haitoki,,, afu kingine wakuu nashangaa sana mfano kwa hapa nilipo jezi zote za ulaya zinauzwa 25000 lakini za kwetu 40000 ila ukipima material yake zetu ziko chini sasa why bei inakuwa juu???na mfano izi zetu wakitumia hayo material haiwezekani ???
 
Mimi sikuelewa kabisa ila huwezi ata toa mchango make utavamiwa na wale wakujiita wafia timu kwo tunabaki,,,,yaani haiwezekani jezi nzuri kama ile ya man u uanze kuitolea maelezo kibao yanini,,, toa jezi kali afu weka dukani uone kama haitoki,,, afu kingine wakuu nashangaa sana mfano kwa hapa nilipo jezi zote za ulaya zinauzwa 25000 lakini za kwetu 40000 ila ukipima material yake zetu ziko chini sasa why bei inakuwa juu???na mfano izi zetu wakitumia hayo material haiwezekani ???
Chukua tender ya jezi ufanye hayo unayo taka , kukosoa ni kazi rahisi sana unaweza fanya hata ukiwa umelala
 
Chukua tender ya jezi ufanye hayo unayo taka , kukosoa ni kazi rahisi sana unaweza fanya hata ukiwa umelala
Si ndo nimeandika hapo???tunakaa kimya tunawakwepa nyie wenye timu zenu hamujui mtu akikukosoa pia anakuwa amekufungua sasa unaniambia chukua tenda ya jezi,,,tenda ya jezi sio tenda yakusambaza vitumbua shuleni mkuu na haina maana kama sina uwezo wakuchukua tenda basi hata likifanyika kosa siwezi kukosoa ,,,,hivi kwanin hampendi kuuchukua ukosoji kama sehemu yakuwasogeza nahizo timu zenu????
 
Si ndo nimeandika hapo???tunakaa kimya tunawakwepa nyie wenye timu zenu hamujui mtu akikukosoa pia anakuwa amekufungua sasa unaniambia chukua tenda ya jezi,,,tenda ya jezi sio tenda yakusambaza vitumbua shuleni mkuu na haina maana kama sina uwezo wakuchukua tenda basi hata likifanyika kosa siwezi kukosoa ,,,,hivi kwanin hampendi kuuchukua ukosoji kama sehemu yakuwasogeza nahizo timu zenu????
Labda niku ulize uliona wapi timu duniani inakusanya idea ya jezi kama maoni ya katiba mpya?
 
Real betis ni miongoni mwa klabu kongwr zinazoshiriki ligi kuu nchini Spain maarufu kama La liga.
Kwa njia ya kipekee kabisa ili kuleta mabadiliko katika historia ya klabu hio hususani katika suala la uwanja wao wa mpira, klabu hii ilamaua kuanzisha shindano lililohusisha watu wengi duniani.

Lengo la shindano hili ni kupata ubunifu wa uwanja wa mpira ambao utakuwa bora zaidi na wa kisasa zaidi kuliko uwanja wa sasa wa Real Betis. Uwanja huo utakuwa na uwezo wa kuchukua idadi kubwa ya mashabiki, na utakuwa na vifaa vya kisasa zaidi vya teknolojia.

Pia klabu hiyo ilitangaza ya kuwa washindi wa shindano hilo watapata zawadi ya pesa pamoja na fursa ya kufanya kazi na Real betis.

Klabu hiyo ilitangaza kuwa tarehe 31 desemba 2020 kuwa ndio mwisho wa kupokea michoro kutoka kwa wabunifu.

Baada ya michoro mingi kupita bodi ya watendaji wa klabu hiyo ilikaa na kupitia mchoro mmoja baada ya mwingine na hatimae kuchagua mchoro ulionekqna kuvutia zaidi. Katika mchoro huo unaoneshq ya kuwa uwanja huo utakuwa na uwezo wa kuingiza watazamaji 60379 ikiwa ni karibu mara nne zaidi ya uwanja wao wa awali unaoingiza watazamaji 15000+.

Cha muhimu kutoka katika shindano na hadithi hii ni kuwa klabu zetu kuongwe na penda hapa nchi, nazungumzia mapacha toka kariakoo yaani wekundu wa msimbazi (simba) na ndugu zao wananchi (yanga) zinaweza kujifunza kitu sio tu kuazisha program za kuchangia pesa hata katika maswala ya ubunifu zinaweza kushirikisha mashabiki na wanachama wake.

Hii inaweza kuongeza mapato na mapenzi kwa vilabu hivi.

Pichani hapo chini ni mchoro wa uwanja uliochaguliwa kutoka katika shindano hilo.

Na bakundande jr
Naomba kuwasilisha
View attachment 2748168
ila the new santiago bernabeu kiboko nyie!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom