Dindira
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 2,912
- 3,468
Nawashangaa sana wachungaji wa KKKT hasa jimbo la magharibi DMP. Kwa mwezi mzima utsmuona kanisani mara 2. siku ya chskula cha Bwana na siku nyingine mwisho wa mwezi lkn huwa kazi ya kuhubiri neno anamuachia mwinjilisti na parish waka. Siku hizi ma parish waka hawafanyi kazi zao za sunday school na kuratibu kipaimara ila utawakuta ndani eti nao wanatoa neno. Kwa chuo gani walichoenda. Askofu ingilia kati tunataka KKKT ile ya zamani sio uhuni wa kurukaruka madhabahuni.