Kizazi cha maroboti kutawala dunia

Kizazi cha maroboti kutawala dunia

gstar

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2011
Posts
814
Reaction score
1,490
Baada ya takribani kama miaka 50 hivi ijayo teknolojia itakapokuwa juu sana. Mfumo wa Artificial Intelligence (AI) utakuwa umeimarika kiasi kwamba maroboti yataweza kuwasiliana na kufanya uamuzi unao fanana. Mifumo hiyo itayawezesha maroboti hayo kufanya maamuzi ya hatari kwa kumwasi aliye waumba yaani mwanadamu.

Maroboti yataweza kujitengeneza yenyewe na kujizalisha yenyewe na kuwa mengi zaidi bila msaada wa mwanadamu na kwakufikia hapo maroboti yatakuwa mengi kuliko idadi ya wanadamu, kwasababu upo mpango kabambe ulioandaliwa na illuminati kwa ajili ya kupunguza kizazi cha mwanadamu.

Baada ya hapo itatokea vita kubwa kati ya wanadamu na maroboti. ndege za kivita zisizo na rubani (drones) hazitakubali kumtumikia tena mwanadamu, mabomu makubwa yenyeakili kama Ballistic Missiles hayatakubali kuwapiga maroboti wenzao hivyo katika vita hivyo mwanadamu atashindwa vibaya.

Marobooti yatakimaliza kizazi chote kilichobaki cha mwanadamu kwa kujiongoza yenyewe na kujiconnect kwa high speed wireless network na kwakutumia programming language codes ambazozitafanya usiri mkubwa wa usambazaji wa taarifa zao, hasa kwa kutumia encryption, na lugha mpya za mawasiliano zilizo ngumu kueleweka na mwanadamu.

Maroboti yote yataungana na kuwa na serikali moja, yatatengeneza viwanda vingi kwa ajili ya kuzalisha vipuri vya kuunda maroboti mapya ili kuendeleza kizazi chao, na kufanya kizazi cha maroboti kudumu tena kwa karne kadhaa, kabla ya kuja kuvunjwa na viumbe watakao hamia duniani kutoka sayari za mbali (Aliens. Hiyo ndiyo sayansi itakapotupeleka baada ya miaka 50 ijayo. nimewaza tu lakini.
 
FB_IMG_1742343084050.jpg
 
Baada ya takribani kama miaka 50 hivi ijayo teknolojia itakapokuwa juu sana. Mfumo wa Artificial Intelligence (AI) utakuwa umeimarika kiasi kwamba maroboti yataweza kuwasiliana na kufanya uamuzi unao fanana. Mifumo hiyo itayawezesha maroboti hayo kufanya maamuzi ya hatari kwa kumwasi aliye waumba yaani mwanadamu.

Maroboti yataweza kujitengeneza yenyewe na kujizalisha yenyewe na kuwa mengi zaidi bila msaada wa mwanadamu na kwakufikia hapo maroboti yatakuwa mengi kuliko idadi ya wanadamu, kwasababu upo mpango kabambe ulioandaliwa na illuminati kwa ajili ya kupunguza kizazi cha mwanadamu.

Baada ya hapo itatokea vita kubwa kati ya wanadamu na maroboti. ndege za kivita zisizo na rubani (drones) hazitakubali kumtumikia tena mwanadamu, mabomu makubwa yenyeakili kama Ballistic Missiles hayatakubali kuwapiga maroboti wenzao hivyo katika vita hivyo mwanadamu atashindwa vibaya.

Marobooti yatakimaliza kizazi chote kilichobaki cha mwanadamu kwa kujiongoza yenyewe na kujiconnect kwa high speed wireless network na kwakutumia programming language codes ambazozitafanya usiri mkubwa wa usambazaji wa taarifa zao, hasa kwa kutumia encryption, na lugha mpya za mawasiliano zilizo ngumu kueleweka na mwanadamu.

Maroboti yote yataungana na kuwa na serikali moja, yatatengeneza viwanda vingi kwa ajili ya kuzalisha vipuri vya kuunda maroboti mapya ili kuendeleza kizazi chao, na kufanya kizazi cha maroboti kudumu tena kwa karne kazaa, kabla ya kuja kuvunjwa na viumbe watakao hamia duniani kutoka sayari za mbali (Aliens. Hiyo ndiyo sayansi itakapotupeleka baada ya miaka 50 ijayo. nimewaza tu lakini.
Maroboti yote yataungana na kuwa na serikali moja, yatatengeneza viwanda vingi kwa ajili ya kuzalisha vipuri vya kuunda maroboti mapya ili kuendeleza kizazi chao, na kufanya kizazi cha maroboti kudumu tena kwa karne kazaa, kabla ya kuja kuvunjwa na viumbe watakao hamia duniani kutoka sayari za mbali (Aliens. Hiyo ndiyo sayansi itakapotupeleka baada ya miaka 50 ijayo. nimewaza tu lakini🥺.
 
Baada ya takribani kama miaka 50 hivi ijayo teknolojia itakapokuwa juu sana. Mfumo wa Artificial Intelligence (AI) utakuwa umeimarika kiasi kwamba maroboti yataweza kuwasiliana na kufanya uamuzi unao fanana. Mifumo hiyo itayawezesha maroboti hayo kufanya maamuzi ya hatari kwa kumwasi aliye waumba yaani mwanadamu.

Maroboti yataweza kujitengeneza yenyewe na kujizalisha yenyewe na kuwa mengi zaidi bila msaada wa mwanadamu na kwakufikia hapo maroboti yatakuwa mengi kuliko idadi ya wanadamu, kwasababu upo mpango kabambe ulioandaliwa na illuminati kwa ajili ya kupunguza kizazi cha mwanadamu.

Baada ya hapo itatokea vita kubwa kati ya wanadamu na maroboti. ndege za kivita zisizo na rubani (drones) hazitakubali kumtumikia tena mwanadamu, mabomu makubwa yenyeakili kama Ballistic Missiles hayatakubali kuwapiga maroboti wenzao hivyo katika vita hivyo mwanadamu atashindwa vibaya.

Marobooti yatakimaliza kizazi chote kilichobaki cha mwanadamu kwa kujiongoza yenyewe na kujiconnect kwa high speed wireless network na kwakutumia programming language codes ambazozitafanya usiri mkubwa wa usambazaji wa taarifa zao, hasa kwa kutumia encryption, na lugha mpya za mawasiliano zilizo ngumu kueleweka na mwanadamu.

Maroboti yote yataungana na kuwa na serikali moja, yatatengeneza viwanda vingi kwa ajili ya kuzalisha vipuri vya kuunda maroboti mapya ili kuendeleza kizazi chao, na kufanya kizazi cha maroboti kudumu tena kwa karne kadhaa, kabla ya kuja kuvunjwa na viumbe watakao hamia duniani kutoka sayari za mbali (Aliens. Hiyo ndiyo sayansi itakapotupeleka baada ya miaka 50 ijayo. nimewaza tu lakini.
Bora useme umewaza mana unachokisema hakiwezi kutokea. Robot haitakuja kuweza kuwa sentient mpaka dunia inaisha daima. Yaani kujitambua kuwa yenyewe inahitaji nini maana ili ifikie hatua hii inabd iwe na hisia.
Kumbuka robot ni mashine inayofanyishwa kazi na algorithim ambayo kimsingi ni mlolongo wa maelekezo. Robot haina knowledge bali inadownload knowledge from inteenet ambapo hyo knowledge inayodownload ni man made.
RObot sio creative kama ubongo wa mwanadam

Kuweka machache ila chakujua kiazai cha mwanadamu hakitakuja kufutika kwenye hii dunia abadan. N kama zama za chuma wakasema kazi zitaisha ila ndio zikazaa madereva na madaktari nguli wa kuunga mifupa ya binadamu, ndege na computer yenyewe, Zama za umeme ikasemekana wanadamu watakufa wote.

Hizi ni teknologies na zote zinatengenezwa kusaidia watu, kama hatuna elimu ya kuendana nazo tutabak nyuma na tutaondolewa nazo ila wenye elimu nazo wataenda nazo. Sasa mpk leo 70% ya watumiaji wa smartphone dar es salaam hawajui kutumia google meet, hawajui kusync contacts zikaenda google server au kuingia mtandaoni kusearch wimbo wu video wakai download kwenye simu ikaweza kuplay offline na kugawa kwa mtu mwingine.
80% ya watanzania walioko dsm hawajui kutumia computer unategemea tuenende na maendeleo ya AI na Robots.

Sisi acha tuendelee kusoma historia ya tanzania, vita ya kagera ya iddy amini na nyerere, na kupanga mikakati ya ccm kuendelea kutawala kwa miaka 100 mbele. Tuwaache china, us wao washindane kutengeneza chatbots, ai, humanoids, androids, self driving cars, n. K watatufundishaga wakimaliz sisi kama kawaida tuendelee kuwa mazezeta wa mwenge wa uhuru, tuupigie saluti na kungonoka kweli kweli kwenye sherehe yake
 
Back
Top Bottom