Mbunge wa jimbo hilo ndg. Ignus Malocha ameonja joto la jiwe katika tarafa ya LAELA na LUSAKA Baada ya kuzomewa na kuambiwa yeye hawamtambui kama mbunge wa eneo hiloo! na wsnanchi wengi mno zaidi ya 135 kurudisha kadi za ccm na wamefika mbali zaidi kusema "TANGANYIKA KWANZA mengine baadae.