Unaweza ukawa unasema, Dar es salaam sikuja kuangalia maghorofa, lakinikila siku ukawa unawtiwa changa kutokana na vituko vya mji huu. Hivi hiki kizaa zaa cha mtu na mpenzi wake kugandana wakati wakila tunda mmeisikia, na baadaye kufariki dunia baada ya kufikishwa hospitali ya Temeke? Je! unafikilia nini? Soma zaidi