Kiwanja Vijibweni bei 2.5Mil

Kiwanja Vijibweni bei 2.5Mil

jembelamkono

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
2,733
Reaction score
2,016
Habari wakuu,kuna jamaa yangu anauza kiwanja chake maeneo ya Kigamboni Vijibweni,
Ukubwa wa kiwanja ni miguu 19 kwa 16
(Kinatosha vyumba 2 + sebule + packing ya gari moja)
Kimepakana na majirani waliojijenga vizuri sana.
Kipo mita 800 kutoka hospitali ya wilaya ya vijibweni.
Barabara ya gari mpaka mlangoni,umeme nguzo ipo mita 5 kutoka kwenye kiwanja.
Kiwanja hakijapimwa (squatter)
Mauziano yatafanyika ofisi za serikali Za mitaa.
Sababu za kuuza ni muuzaji anashida ya haraka ya kutatua,hivyo anauhitaji wa haraka wa pesa.
Kwa muhitaji tuwasiliane kwa 0621003284.
 
Habari wakuu,kuna jamaa yangu anauza kiwanja chake maeneo ya Kigamboni Vijibweni,
Ukubwa wa kiwanja ni miguu 19 kwa 16
(Kinatosha vyumba 2 + sebule + packing ya gari moja)
Kimepakana na majirani waliojijenga vizuri sana.
Kipo mita 800 kutoka hospitali ya wilaya ya vijibweni.
Barabara ya gari mpaka mlangoni,umeme nguzo ipo mita 5 kutoka kwenye kiwanja.
Kiwanja hakijapimwa (squatter)
Mauziano yatafanyika ofisi za serikali Za mitaa.
Sababu za kuuza ni muuzaji anashida ya haraka ya kutatua,hivyo anauhitaji wa haraka wa pesa.
Kwa muhitaji tuwasiliane kwa 0621003284.
Hiyo Miguu inayotoa eneo (sio ukubwa) la 19 kwa 16 ni miguu ya mtu mrefu kama nani??
Tausi wa Bongomovie (tausi wa bongo movie - Tafuta na Google ), Joti au Hasheem Thabit??
 
duh umenifanya nicheke tu
Wajua kuu kipimo cha Miguu sio kabisa, sijui kwanini mtu muelewa mpaka ana akaunti hapa JF anashindwa kujua kipimo cha Miguu sio cha kukitumia. Hivi hapa alipotaja kua eneo ni miguu 19 kwa 16 wewe umeweza kweli kuhisi kitakua na ukubwa gani??

Maana kwa mie kwanza mpaka niwaze/nibuni/nikisie huyo aliepima alikua na urefu upi, kitu ambacho naweza kupatia au kukosea
 
Miguu ni kipimo cha waingereza classic. Kilinganishi hiking chukua kuwa 1metre = 3feet
 
Back
Top Bottom